masharubu
Senior Member
- May 5, 2010
- 155
- 10
Mponji hao walimu hasa ndio wanawapigisha kura hasa wale wazee wasiojua kusoma au wasiiona, sasa kazi ipo kwao. Na wao wengi wao ndio wanaolipwa hicho kima cha chini na wanishia ktk mikopo na kuuza ubuyu na yule mwalimu mwenzao ambae sasa hivi ana ving'ora amewasahau kabisa