Kilwa Road baada ya kumalizika imeanza kuharibika!

Balozi wa Japan pamoja na Waziri Magufuli wametangaza kuwa barabara ya Kilwa iliyojengwa chini ya kiwango, kurudiwa tena kujengwa upya.

Balozi wa Japan ameomba msamaha kwa kampuni ya Kajima kutokujenga kwa kiwango barabara hiyo. Kampuni ya Kajima itarudia kujenga kwa gharama zake.

Ahsante Kikwete, ahsante Magufuli, ahsante Balozi wa Japan.

Makosa yametendeka, makosa yameonekana, makosa yamekubalika, makosa yanarekebishwa. Huo ndio uongozi mahiri na si kulalama tu kutwa kucha.

Mh. Kikwete kupongezwa kwa hili ni jambo jema na ni stahili yake, kama tu vile anavyopaswa kukosolewa na kubebeshwa lawama za kero na adha zisizopungua zitokanazo na ukosefu wa maadili ya uongozi ya watumishi mbalimbali aliowateua na ulegelege uliodhahiri katika majukumu yake mengi hapa nchini!!
 
huu ni UPUUZI wa hali ya juu. Hapa watu wamekula hela na sasa hawana pa kutokea.Hivi TANROADS hadi jamaa wanajenga na kumaliza, walikuwa wapi?Ukiona kiwango kimeshuka si hapojapo unawasimamisha?Kama ni Lami lao unalikataa na wakiendelea kukaidi, unawatimua.Ingelikuwa ni jengo maana yake unasubiri hadi lianguke ndipo ujuwe kiwango kipo chini?Hakuna lolote litakalofanywa zaidi ya kupangusa tu hiyo barabara na kama kawaida, funika kombe itaendelea.Hili li Nchi wakishika watu wa Pwani, Uswahili hadi unatia Kinyaa.Napendekeza, Rais ajaye awe FF..........
 
Jamani Kajima waliiuzia kazi kampuni moja ya local ndio waliowaingiza mjini. Kama Magufuli asingelikuwa ngangari jamaa wangeipokea ile barabara ingawa sijui huyo local contractor alichanganya lami na hamira maana ilianza kuumuka hata kabla ya mwaka mmoja kuisha. I wonder! Ila jana niliona thread moja ikanishusha pumzi kidogo
 
CCM bwana...... Mnasimanga watu malkini kama magufuli, kikwete na punda wake walimtukana magufuli kwenye mikutano ya hadhara. Ccm nzima hamna kama maghufuli
 
Kajima ninaowafahamu mimi hawawezi kuharibu kazi. Hata hivyo wamepata fundisho la ku-toa kazi kwa makampuni yasiyo na sifa na kukubali jina la KAJIMA litumike. Ni makosa makubwa sana walifanya kajimba kwani kampuni iliyoharibu kazi haipati kamwe kazi TANZANIA Hasa kwa Mhe. Magufuli.

Watufadhaika sana, hawataweza sema kitu, walitoa jina lao litumike bila kutafakari risks. Hata hivyo ni njia yangu kwenda home. Ni imaani yangu wataitengeneza vizuri sana nadhani ni lazima kwao wataadhibiwa kwa kuiaibisha nchi kwani pesa ya barabara hiyo imetolewa na walipa kodi wa JAPAN.
 
Kama ni sifa basi tumshukuru Pombe.J.Magufuri maana ndiye aliyesimamia show mwanzo mwisho,imagine kama mh. huyu asingekuwa na wadhifa huu ni nani mwingine angefanya jambo kama hili?hayupo hata J.K mwenyewe asingeweza kwani mifano iko mingi, angeishia kuchekacheka tu....shame on him!Hongera Magufuri.
 
Kama ni sifa basi tumshukuru Pombe.J.Magufuri maana ndiye aliyesimamia show mwanzo mwisho,imagine kama mh. huyu asingekuwa na wadhifa huu ni nani mwingine angefanya jambo kama hili?hayupo hata J.K mwenyewe asingeweza kwani mifano iko mingi, angeishia kuchekacheka tu....shame on him!Hongera Magufuri.
 
Jambo la kushangaza ni kuwa story hiyo wameitangaza ITV pekee! TV nyingine zimeichunia, Je, hiyo siyo habari au ni kampeni za URAIS 2015
 
This is another weakness na failure ya serikali isokuwa makini, si wana consultant na meneja wa Tanroads mkoa ambao walikuwa wanakagua wakati wote? Sasa kwanini wasubiri hadi mwisho ndo wafike walikofika? Haya yote yangeweza kuzuilika. Mnasifia upupu tu, Nendeni tena ile barabara ya Bwanga- Kyamyolwa (Kagera) nayo nasikia imekataliwa kupokelewa "eti" imejiengwa chini ya kiwango, si tatizo na ni uamuzi mzuri, swali langu ni kuwa hawa wahandisi wa serikali si walikuwa wanakagua? Iweje waliruhusu iendelee wakati ni kiwango cha chini. Wengine wanasema "If the two premises (siyo promises manake huwa mnachanganya sana) in an argument are positive then the conclusion must also and equally be positive" kwetu ni kinyume!
 
faizafox nakupa hongera kwa mara ya kwanza leo una point tupu endelea acha madudu mengine
 
Dr. Makufuri yuko serious sana ndio maana anafanya uzalendo wa haki kwa nchi yake Mungu akubariki na akuzidishie ujasiri
 
Ukitaka watu wawajibike in amana unataka kumwajibisha mteule wa jimbo la Mkuu wa nchi? Kawambwa ndio tatizo kwani hakuonyesha kukerwa naujenzi wa hovyo wa hii barabara kabisa. Cheki kijana wa kazi alivyoingia tu kitu chamhimu kwanza ilikuwa ni hii barabara fasta alikagua mwenyewe na kuunda tume fasta mara leo tunanambiwa inajengwa upya basi hii nitaarifa mbaya kwawale wawania urais 2015 kwani Magufuri anazidi kuupaa napoint zake na anastahili kuwa President wa hii nchi mananke imeoza mno ili iende mbele inahitaji watu kama magufuli Kwanza minaona kama Magufuli apewe Wizara 3 NYUMBA NA RADHI, uJENZI NA NISHATI NA MADINI atafanya makubwa Pia huyu Naibu waziri wale nniwatu wakazi wanapenda kutenda + kusimamia kile wanachosema Mfano yule mkandarasi maebanwa ajibu hadhrani mbele yawananchi ile inasababisha utendaji kuwa mkubwa hapendi unafiki eti mkatete ofisini hanailo. Kule same yule mkuu wapolisi waziri hakumwogopa akampa tuhuma zake live awajibu wananchi sio mambo yakulindana.
 
Ukitaka watu wawajibike in amana unataka kumwajibisha mteule wa jimbo la Mkuu wa nchi? Kawambwa ndio tatizo kwani hakuonyesha kukerwa naujenzi wa hovyo wa hii barabara kabisa. Cheki kijana wa kazi alivyoingia tu kitu chamhimu kwanza ilikuwa ni hii barabara fasta alikagua mwenyewe na kuunda tume fasta mara leo tunanambiwa inajengwa upya basi hii nitaarifa mbaya kwawale wawania urais 2015 kwani Magufuri anazidi kuupaa napoint zake na anastahili kuwa President wa hii nchi mananke imeoza mno ili iende mbele inahitaji watu kama magufuli  Kwanza minaona kama Magufuli apewe Wizara 3 NYUMBA NA RADHI, uJENZI NA NISHATI NA MADINI atafanya makubwa Pia huyu Naibu waziri wale nniwatu wakazi wanapenda kutenda + kusimamia  kile wanachosema  Mfano yule mkandarasi maebanwa ajibu hadhrani mbele yawananchi ile inasababisha utendaji kuwa mkubwa hapendi unafiki eti mkatete ofisini hanailo. Kule same yule mkuu wapolisi waziri hakumwogopa akampa tuhuma zake live awajibu wananchi sio mambo yakulindana.
 
kumbukeni kuwa wakati mkataba wa ujenzi wa iyo barabara unawekwa maghufuli hakuwa waziri kwenye hiyo wizara, so kama kuna percent walipata wengine.

hapa kuna mchezo wa kisiasa unachezwa, huyo maghufuli kama ni makini, muwajibikaji na mzalendo kakam knavyotaka tuamini hapa, mbona hakurudisha nyumba za serikali walizouziana "chini ya kiwango" cha uadilifu na uzalendo? kwa yeye mwenyewe kusimamia na kuwamilikisha jamaa zao wa karbu na wasio watumishi wa serikali?

pamoja na nia nzuri ya kuirudia hiyo barabara upya, bado nashawishika kuamini kuwa hii ni vita ya mgao na urais 2015 ndo inayochezwa hapa!

ni mtazamo wangu tu jamani
 
Lakini wakati inajengwa magufuli hakuwa waziri wa ujenzi, walikuwa kawambwa na mramba na KM alikuwa omari nundu, magufuli kafunika kombe kama kawaida ya serikali kulindana
 
Back
Top Bottom