Wakuu habari ya muda huu, naombeni ushauri juu ya haya maeneo.nimepata viwanja viwili pande zote mbili vipo sawa kwa vipimo yani 30*40 na bei kote ni 6m cha kiluvya kipo kwa komba na chanika kipo mji mpya (kibaoni) naombeni ushauri wapi ni bora ukiangalia kuwa na maendeleo ya haraka.Natanguliza shukrani