mazikukulwa
Member
- Aug 13, 2011
- 39
- 3
- Thread starter
- #81
Ahsante sana mkuu kwa ushauri wako nimekupata vizuri sana.
pole sana mkuu..kuwa confident na usiogope kuingia ofisi yoyote..omba appointment na mkurugenzi..secretary akiuliza kuhusu nini usiseme official sema personal issues..wewe ni nani kwake? Mwambie jamaa yake..in that way utafanikiwa kuonana na mabosi wengi...ukikutana nae mweleze ur story..mwambie kuhusu firm uliowai kufungua....nina uakika lazima utapata somebody who will be willing tu help you ata kuupa ushauri zaidi au kukuconect....najua it's hard but jaribu bcoz kuna watu nawafaham wamefanikiwa..