mazikukulwa
Member
- Aug 13, 2011
- 39
- 3
- Thread starter
- #21
Ahsante mdau kwa mawazo na mchango wako wa kina.
@mazikukulwa,
tayarisha cv yako vizuri na wasiliana na 'recruitment agencies' kama radar. Kuomba mungu peke yake haitoshi maana kumbuka ni mungu huyu huyu anaombwa asaidie watu wanakufa njaa somalia, kuokoa maisha ya kwenye nchi zenye vita n.k. Kwa hiyo hata kwa logic ya kawaida kwenye list ya maombi mungu ataanza na walio kwenye '11th hour'. So you have to be on your feet na psychologically inabidi 'uamue' narudia 'uamue' kwamba lazima upate kazi! Ukishaamua utajisikia kabisa kwamba unayo nguvu ya kupata kazi.
Website ya radar hii hapa; radar recruitment the leading recruitment agency in tanzania: Home
kingine: Hao wadogo zake wanaokutegemea pia nao waanze kutafuta kazi i.e supermakets. Haitoshi kukaa na kuhuzunika kila mmoja achacharike vinginevyo utajikuta siku zote una mzigo mzito.