Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,899
- 71,429
Ndio maana nasema lazima wewe ni mama mchawi. Watu wanazungumzia maumivu wayapatayo Watz wewe unaleta upuu.zi wako hapa. Kwa taarifa yako sio kila anayezungumzia ugumu wa maisha kuwa naye anao bali watu wanawazungumzia watu kwa ujumla wao.Hapo una deni la zamani, hizo fixed amount, umeme ulionunuwa ni huo 2,676.72 tu.