HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
mfumo wa kukusanya kodi kutoka kwa watu wa kipato cha chini ni hatari sana kwani hugusa maisha yao ya kila siku na kipato chao na hawataweza kuvumilia hali hii kwani mizigo ya kodi imewalemea ni wakati wa kusema ccm tosha toka 2015