Kilimo, soko na faida za Uyoga

Ingekuwa upo hapa Singapore(SONGEA)Ingekuwa rahisi maana mimi pia nazalisha uyoga na kuuza.Niwekee namba yako ya simu hp
 
nenda pale morogoro, SUA, wako watu kibao wanajua kazi hiyo. Ukianza/wakianza kazi nijulishe niwe nakupelekea mbegu kutoka hapa. zipo aina nyingi bei karibu sawa na bure.
 
hata mimi hii kitu natamani sana, nakumbuka nilipokuwa mdogo kule tabora kwa bibi yangu, tulikuwa tunaenda kuokota polini, kwa utalaamu wake, maana mingine huwa na sumu.

kwa hapa dar unawe zalisha kutokana na kuwa na joto??

mbegu zinapatikana wapi?
 
Habari waheshimiwa!!
mimi ni mhitimu wa chuo,nimeamua kujikwamua kwa kilimo cha uyoga.Sio haba ninavuna saivi daily kilo za kutosha.
Tatizo ni kuwa sina soko la uhakika..sana sana kuna walanguzi wachache wananilangua hao mpaka najilaumu.

Sasa,kuna mwenye msaada naweza kujua namna ya kupata soko la uhakika?Ahsante
 
Tuwasiliane kwa namba zifuatazo 0754434914 au 0716207069 ukipiga nikumbushe kwa kutaja mkulima wa uyoga, nitajaribu kukusaidia kupata soko la uhakika.
 
Mhitimu wa chuo, unaweza ku-practice online marketing angalau kidogo kwa kuweka Price/Kg, Sehemu unapatikana, aina ya uyoga, uwezo wako wa ku-supply ni kiasi gani? Contacts zako za simu......nakuhakikishia utajikuta unapata Soko la uhakika humuhumu JF. Ni hayo tu kwa leo.
Habari waheshimiwa!!
mimi ni mhitimu wa chuo,nimeamua kujikwamua kwa kilimo cha uyoga.Sio haba ninavuna saivi daily kilo za kutosha.
Tatizo ni kuwa sina soko la uhakika..sana sana kuna walanguzi wachache wananilangua hao mpaka najilaumu.

Sasa,kuna mwenye msaada naweza kujua namna ya kupata soko la uhakika?Ahsante
 
Mhitimu wa chuo, unaweza ku-practice online marketing angalau kidogo kwa kuweka Price/Kg, Sehemu unapatikana, aina ya uyoga, uwezo wako wa ku-supply ni kiasi gani? Contacts zako za simu......nakuhakikishia utajikuta unapata Soko la uhakika humuhumu JF. Ni hayo tu kwa leo.

right ... huu ndiyo ujasiriamali .... asante
 
Hi wana JF,

Ninaomba kuelimishwa kuhusu kilimo cha uyoga. Ni pamoja na gharama zote za uzalishaji kwa eneo husika (mfano robo eka) pamoja na kiasi cha mavuno kinachoweza kutarajiwa, bei ya uyoga kwa sasa na soko lake. Nipo Korogwe, Tanga.

Asante
 
Kilimo cha uyoga ni taaluma ya microbiology au to be more specific, mycology. Ukikutana na wachakachuaji watakufrustrate utalia. Kwa habari za uhakika kuhusu taaluma au kilimo hiki unabidi upate mafunzo na taarifa sahihi toka kwa wataalamu. Wasiliana na namba zifuatazo kwa taarifa sahihi za kilimo na upatikanaji wa mbegu: 0755054614, 0713 415559, 0714 524572, 0713795208, 0754481324, 0787280742. Hawa watakupa taarifa sahihi au watakuelekeza mahali pa kupata kile utakachokuwa unahitaji.
 
wadau nasikia biashara ya uyoga inalipa sana. Naomba kufahamishwa yafuatayo:-


  1. Ni kweli kuwa ni biashara nzuri?
  2. Je marketing yake ipo wapi na ni namna gani inafanywa?
  3. Anae jihusisha na hio biashara inatakiwa bora alime mwenyewe ama tu hata kufuata kwa wale wanao lima hilo zao?
  4. Ni wapi hasa wanashughulika na hiyo biashara ambako naweza pata ujuzi na majibu zaidi?

Nawasilisha wakuu.
 
Uko wap,biashara inalipa kwa mikoa gan?!vp khs aina za uyoga(species) znahtajka?!
 
So tuwasiliane kwa 0718008044,ili tushee mawazo coz nilikuwa na nia kama yako toka muda mrefu!.
 
kila biashara inalipa. Cha msingi ufanya utafiti wa uhotaji wa hiyo bidhaa unayotaka kuzalisha. Wateja wapo? Sasa wewe unataka uingie katika biashara ya uyoga, utauza wapi huo uyoga? Utakuozea tu maana hujui kama soko kweli lipo. Fanya utafiti kwanza.
wadau nasikia biashara ya uyoga inalipa sana. Naomba kufahamishwa yafuatayo:-


  1. Ni kweli kuwa ni biashara nzuri?
  2. Je marketing yake ipo wapi na ni namna gani inafanywa?
  3. Anae jihusisha na hio biashara inatakiwa bora alime mwenyewe ama tu hata kufuata kwa wale wanao lima hilo zao?
  4. Ni wapi hasa wanashughulika na hiyo biashara ambako naweza pata ujuzi na majibu zaidi?

Nawasilisha wakuu.
 
Thank Nguto nimekuelewa nipo katika utafiti ila nikipata wadau husika watanisaidia zaidi na pia mawazo ya wana jamii pia yatanisaidia
 
Back
Top Bottom