Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Hasara kubwa ya uyoga ni kujua upi unaliwa na upi hauliwi. Kuna uyoga ni sumu na unaweza kudhuru na hata kuua. Lakini ikiwa unauzwa, nadhani muuzaji atakuwa ni mtaalamu wa kujua kile anachofanya.
Aina maarufu ya uyoga unaoliwa ni hii:
View attachment 48820
Ukiwachia hatari hizo, uyoga una virutubishi kama vile: Vitamins B1, B2, B3, B5 na Vitamin C, Calcium, Phosphorous, Potassium, Sodium na Zinc
Nashukuru sana mkuu kwa maelezo safi, naskia pia unaweza kutia maziwa wakati wakuupika ili kukata sumu kama itakuwepo kwenye huo UYOGA...