Kilimo, soko na faida za Uyoga

Hasara kubwa ya uyoga ni kujua upi unaliwa na upi hauliwi. Kuna uyoga ni sumu na unaweza kudhuru na hata kuua. Lakini ikiwa unauzwa, nadhani muuzaji atakuwa ni mtaalamu wa kujua kile anachofanya.
Aina maarufu ya uyoga unaoliwa ni hii:

View attachment 48820
Ukiwachia hatari hizo, uyoga una virutubishi kama vile: Vitamins B1, B2, B3, B5 na Vitamin C, Calcium, Phosphorous, Potassium, Sodium na Zinc

Nashukuru sana mkuu kwa maelezo safi, naskia pia unaweza kutia maziwa wakati wakuupika ili kukata sumu kama itakuwepo kwenye huo UYOGA...
 
they are rich in proteins...so hata kwa mambo flani zinafaa...
mbaya ni kua ipo mingine ina asili ya sumu...siifaham!
ni hayo tu.

Nashukuru mkuu BAGAH, Nadhani niliopata haitakuwa na sumu, japo nimeambiwa naweza kutia maziwa wakati wakupika ili kukata sumu.
 
huu unafanana na huu wa kwako lakini una sumu mbaya kabisa........inahitajika hekima na busara kuchagua uyoga.....
btw......u hali gani....?

aphalloides2.gif

Duuh mbona napata kizunguzungu, kwahyo huu ni sumu tena??
 
Uyoga mzuri lakini mtihani sana. Tulipokuwa watoto tulikuwa tunajilia tu na Mungu alitulinda. Hivi sasa kama sikuukuta Supermarket, wa kuokota mimi mwenyewe msituni siutaki. Kuna aina hii hatari sana. Wengine wanautumia kama dawa ya kulevya:
View attachment 48822


Mimi mzima, asante sana.

Afu huo unafanana na nilio ununua baadhi ya majani yake...
 
mapishi mema ya uyoga mkuu.... Mie ni mpz sana wa uyoga,nilikuwa nanunua kwa mama mmoja alikuwa analima siku hizi sijui kahamia wapi.... Nimebaki sielewi nikanunue wapi...
 
imekuaje tena hapa...

Kuna uzi uliletwa hapo kuusiana na hayo makitu aka mauyoga kwamba yanasaidia kuinua jogoo apande mtungi,ndio maana naona watu wanashobokea uyoga wkt washaambiwa kwamba una sumu lkn mtu hakomi anataka kuweka na maziwa,cha kujiuliza kwa nini mtu anang'ang'ania tuu?? Zinc,potasium mbona kwenye water melon yapo?? Kunani uyogaaaaaa?? Watu washadanganywa kwamba inainua network ya mnara.
 
Afu huo unafanana na nilio ununua baadhi ya majani yake...
Kwa hivyo sikushauri uule mkuu kabala ya kuthibitiha kama una sumu au la.
Unaweza kupika uyoga kwa kutumia maziwa kama sehemu ya receip, lakini usiamini 100% kuwa maziwa hayo yanaweza kuondoa sumu yote ikiwa kweli una sumu. Halafu sumu za uoga zinatafautiana na aian ya uyoga wenyewe.
 
Kwa hivyo sikushauri uule mkuu kabala ya kuthibitiha kama una sumu au la.
Unaweza kupika uyoga kwa kutumia maziwa kama sehemu ya receip, lakini usiamini 100% kuwa maziwa hayo yanaweza kuondoa sumu yote ikiwa kweli una sumu. Halafu sumu za uoga zinatafautiana na aian ya uyoga wenyewe.

Nashukuru mkuu nahisi kujifunza kitu kutoka kwako mkuu...
 
Nenda kaulizie kwenye hizi supermarkets kubwa, na pia jaribu pale sokoni kariakoo.
 
habari wanajamii! nilikua naomba mnisaidie mbinu na njia nzuri za kilimo cha uyoga pamoja na soko lake hapa tanzania especially dar-es-salaam.asante sana!
 
Natamani sana kuwa mlaji wa uyoga.Achilia hilo,ikibidi hata kuwa mkulima.Kwa mwenye uzoefu naomba anijuze kwani nasikia unafaida nyingi kiafya na mboga tamu sana.
 
sory bandugu, hv uvunaji wa uyoga uchukua siku ngapi, i mean kuanzi siku ya kwanza kuvuna mpaka kuacha kabisa kuota kwa uyoga.ni continuos au uvunaji wake ni mara moja
na pia naomba kiwango cha uvunaji,kwa mifuko mia unaweza ukapata kilo ngapi au mazao kiasi gani?
 
sory bandugu, hv uvunaji wa uyoga uchukua siku ngapi, i mean kuanzia siku ya kwanza kuvuna mpaka kuacha kabisa kuota kwa uyoga.ni continuos au uvunaji wake ni mara moja na pia naomba kiwango cha uvunaji,kwa mifuko mia unaweza ukapata kilo ngapi au mazao kiasi gani?
 
Back
Top Bottom