ntmgenesis
Senior Member
- Apr 22, 2010
- 167
- 30
Okey cha msingi ni kakikisha unapoenda kulima maji hayatuami na upigaji wa dawa za kuuwa wadudu ni muhimu sana lfiji sijawahi fika ila ufuta unastawi sana pia kuna mbegu ambazo zinasoko kubwa pia hili uzingatie mim nipo moro kwa sasa ila natamani sana kama ninge pata shamba huko vipi yanapatika huko?