Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Mkuu, naona unajua sana hii habari ya Sesame. Nahitaji kwa ajili ya kununua/jamaa fulani hapa kwetu wanahitaji.

Soma ujumbe hapo juu na niandikie kama una habari za wapi unauzwa: Ssambali@hotmail.com. Huenda nikapata soko.

Aiseeeh ujumbe wako sijauelewa ila kuhusu muda wa kununua ufuta kwa hapa TZ uwa ni kuanzia May mapa August kila mwaka muda huu ukipita uwa si lahisi kupata ufuta maana wengi ulima kipindi cha masika yaani February to May hapo nitakutafuta maana ufuta uwa unakuwepo mwingi sana; kwa sasa labda walio hifazi subili niongee na jamaa zangu wa uko lkn ujanipatia bei unanunua kwa bei gani?
 
Well Somanga pako vizuri pia ila ukilima pale uwe mwangalifu wadudu na magonjwa maana watu wengi wanalima kwa sasa ufuta kuna watu inabidi nikuunganishe nao wako hapo somanga huwa wanagiza mbegu hii ya Lindi 02 kwa sababu inafanya vizuri sana somanga harakaharaka ninakutajia aina za ufuta hapa TZ nikianza na inaya fanya vizurisana 1. Lindi02 huchukua siku 100 hadi 110 kukomaa na utapat hadi kilo 1500 p/ha 3. Ziada 94 huchukua siku 120 hadi 130 kukomaa na waweza pata maximum hadi kilo 1000 p/ha 4. Zawadi 94 siku 105 hadi 115 kg 1000 p/ha na 2. naliendele 92
huchukua siku hadi 110 na utapata maximum kg 1200 p/ha.

sorry naona unanifanya nifungue darasa sasa; hivi siwezi pata eneo huko Somanga kama lipo naweza pata kwa kiasi gani?

Kuna maeneo yanatarajiwa kuanza kugawiwa baada ya msimu huu wa kilimo watagawa bure labda tuwasiliane itakua vyema. Back to the topic. Bei za hzi mbegu zinaendaje?

Na zinapatikana only Lindi? (referring to hyo the best lindi 02)
Per acre unaweza kutumia kilo ngap?
 
Kuna maeneo yanatarajiwa kuanza kugawiwa baada ya msimu huu wa kilimo watagawa bure labda tuwasiliane itakua vyema. Back to the topic. Bei za hzi mbegu zinaendaje?

Na zinapatikana only Lindi? (referring to hyo the best lindi 02)
Per acre unaweza kutumia kilo ngap?

Its okey ukisema msimu huu unamaanisha nin mwaka 2014?

kuhusu mbegu kuna wakala anaezitoa hizi mbegu watu uwa wanagombania sana kwa sababu wenye huzipima na kuzihifazi vizuri kitaalam mpaka wakati wa msimu wa kupanda tuwasiliane waweza nitumia email kwenye hii adress ntmgenesis@yahoo.com nitakupatia number yangu ya simu ili tuongee zaidi na pia ili nikuwekee order MBEGU zina kuwa packed vizuri kwenye mifuko ya kg 2 mwaka jana tulinunua elfu tano ila demand ilikuwa kubwa nazani watapandisha bei december 2014 ila ujiandae atakama utataka tone tutapata la msingi kutoa order ila ingekuwa vyema useme unaitaji kiasi gani niwaambie kabisa

lasivyo kwa uko mtaani utauziwa mbegu mchanganyiko wa aina mbalimbali au zisizoota kabisa
 
Its okey ukisema msimu huu unamaanisha nin mwaka 2014? kuhusu mbegu kuna wakala anaezitoa hizi mbegu watu uwa wanagombania sana kwa sababu wenye huzipima na kuzihifazi vizuri kitaalam mpaka wakati wa msimu wa kupanda tuwasiliane waweza nitumia email kwenye hii adress ntmgenesis@yahoo.com nitakupatia number yangu ya simu ili tuongee zaidi na pia ili nikuwekee order MBEGU zina kuwa packed vizuri kwenye mifuko ya kg 2 mwaka jana tulinunua elfu tano ila demand ilikuwa kubwa nazani watapandisha bei december 2014 ila ujiandae atakama utataka tone tutapata la msingi kutoa order ila ingekuwa vyema useme unaitaji kiasi gani niwaambie kabisa; lasivyo kwa uko mtaani utauziwa mbegu mchanganyiko wa aina mbalimbali au zisizoota kabisa

NimekuelewA mkuu but siwez kusema nahtaj kiasi gani mpaka nijue kwa heka ntahtaj lind02 kiasi gani so kama unalijua hilo itakua rahisi kwangu kupress order sahihi
 
NimekuelewA mkuu but siwez kusema nahtaj kiasi gani mpaka nijue kwa heka ntahtaj lind02 kiasi gani so kama unalijua hilo itakua rahisi kwangu kupress order sahihi

Du! Pole sana nilisahau kukujibu kawaida kifuko kimoja chenye kg 2 hutosha kupanda heka moja hii kama unapanda kitalam maana badae utatakiwa kuiondoa ile miche ambayo ni zaifu na kuacha miche mitatu au minne katika kila shina ila kwa wewe na mimi tunaona anza kilimo huwa nusu au robo tatu ya mfuko wa 2 kg unatosha kwa sababu tunapanda moja kwa moja bila kuing'oa miche ambayo inaonekana zaifu; ila kama utawza lima kwa wingi hapa kunajamaa naongea naye anasema wenyewe wanataka tone 10000 kila mwaka kazi kwako mkuu.
 
Wakuu wana JF wenzangu, naomba kujuzwa kwa wale wazoefu, ni wapi kuna soko zuri la ufuta?
Fungukeni wapendwa bila uchoyo ili tuweze kusaidiana kuinua uchumi wa nchi yetu.

Soko zuri la ufuta ni mohd enterprises ila wanaanza kuchukua kwa tani kumi, ila jua makin na madalali wao. Mimi nipo Dar
 
Du!!!!!!! Pole sana nilisahau kukujibu kawaida kifuko kimoja chenye kg 2 hutosha kupanda heka moja hii kama unapanda kitalam maana badae utatakiwa kuiondoa ile miche ambayo ni zaifu na kuacha miche mitatu au minne katika kila shina ila kwa wewe na mimi tunaona anza kilimo huwa nusu au robo tatu ya mfuko wa 2 kg unatosha kwa sababu tunapanda moja kwa moja bila kuing'oa miche ambayo inaonekana zaifu; ila kama utawza lima kwa wingi hapa kunajamaa naongea naye anasema wenyewe wanataka tone 10000 kila mwaka kazi kwako mkuu.

Haina tabu mkuu. Zinapatikana wala usjali. Last but not least thing unaweza kunisaidia ni hyo so called kupanda kitaalamu plus madawa bora ya ufuta
 
Jaman bila shaka najua kabisa kwa kudra za Mwenyezi Mungu wengi wetu ni wazima kabisa.

Jamani kuna maeneo yanaitwa Bungu ipo njia ya barabara ya Kilwa, nimebahatika kupata eneo la ardhi na namshukuru sana Mungu nimepata eneo kubwa, sasa nlikua nafikiria kufanya kilimo mbadala tofauti na shughuli za ufugaji ambazo nimekua nkizifanya kwa muda mrefu.

Sasa nimesikia kilimo cha ufuta maeneo yale ni safi saaana lakini tatizo kubwa sijapata uelewa sahihi juu ya kilimo hiki, TAFADHALI MWENYE KUFAHAMU NAOMBA ANIELEZE.

My take

Jamani maeneo yale ya Bungu wananchi wengi wazawa wanauza ardhi zao kwakua nimesikia kuna mpango wa kuendeleza maeneo na wakazi wengi hawana uwezo wa kua na makazi bora, sasa kama mtu anahitaji tafadhali vijana wenzangu nadhani ni fursa nzuri sana kweyu kama vijana kuwahi umilikaji huu kwa bei rahisi ambazo najua ukiamua kuacha mambo ya bia na starehe unauwezo wa kununua.

Nawasilisha karibuni kwa maoni.
 
Jaman bila shaka najua kabisa kwa kudra za Mwenyezi Mungu wengi wetu ni wazima kabisa.

Jamani kuna maeneo yanaitwa Bungu ipo njia ya barabara ya Kilwa, nimebahatika kupata eneo la ardhi na namshukuru sana Mungu nimepata eneo kubwa, sasa nlikua nafikiria kufanya kilimo mbadala tofauti na shughuli za ufugaji ambazo nimekua nkizifanya kwa muda mrefu.

Sasa nimesikia kilimo cha ufuta maeneo yale ni safi saaana lakini tatizo kubwa sijapata uelewa sahihi juu ya kilimo hiki, TAFADHALI MWENYE KUFAHAMU NAOMBA ANIELEZE.

My take
Jamani maeneo yale ya Bungu wananchi wengi wazawa wanauza ardhi zao kwakua nimesikia kuna mpango wa kuendeleza maeneo na wakazi wengi hawana uwezo wa kua na makazi bora, sasa kama mtu anahitaji tafadhali vijana wenzangu nadhani ni fursa nzuri sana kweyu kama vijana kuwahi umilikaji huu kwa bei rahisi ambazo najua ukiamua kuacha mambo ya bia na starehe unauwezo wa kununua.

Nawasilisha karibuni kwa maoni.
Mkuu mi nikushukuru kwa taarifa nzuri ya bungu. ila sijajua wanafanyaje bei zao kwenye maeneo hayo. kama utatupa mwanga zaidi, tunatanguliza shukrani. nimeku-pm pia
 
Hakuna wasiwasi Mkuu. Pamoja sana na mie ntawajulisha kuhusu kipindi kizuri cha mavuno.

Sasa ununuaji ni mtu unakuja na roli au kuna vyama vya ushirika kiasi kwamba ukija, unakuta wamejipanga na wewe unachukua mzigo na kuwaachia fedha? Maana hili kwa kweli linatuangusha sana. Wananchi wangelikuwa wanachukua data na kujitangaza basi inakuwa rahisi mtu siku moja anakuja na kuchukua mzigo wote kutokana na kila mmoja kuwa ameshatangaza kilo zake ngapi na wewe unakwenda kabisa kwa kujua unaenda kuchukua kilo kadhaa.

Kwa ufupi ni kuwa kuna jamaa wanahitaji huo ufuta kwa kiasi kikubwa yaani kwa kwa mahitaji ya viwanda ambapo zitahitajika konteina kadhaa na siyo gunia kadhaa.

Nasubiri ujumbe wako na mwakani mwezi April, ntakutafuta.
Aiseeeh ujumbe wako sijauelewa ila kuhusu muda wa kununua ufuta kwa hapa TZ uwa ni kuanzia May mapa August kila mwaka muda huu ukipita uwa si lahisi kupata ufuta maana wengi ulima kipindi cha masika yaani February to May hapo nitakutafuta maana ufuta uwa unakuwepo mwingi sana; kwa sasa labda walio hifazi subili niongee na jamaa zangu wa uko lkn ujanipatia bei unanunua kwa bei gani?
 
Hakuna wasiwasi Mkuu. Pamoja sana na mie ntawajulisha kuhusu kipindi kizuri cha mavuno.

Sasa ununuaji ni mtu unakuja na roli au kuna vyama vya ushirika kiasi kwamba ukija, unakuta wamejipanga na wewe unachukua mzigo na kuwaachia fedha? Maana hili kwa kweli linatuangusha sana. Wananchi wangelikuwa wanachukua data na kujitangaza basi inakuwa rahisi mtu siku moja anakuja na kuchukua mzigo wote kutokana na kila mmoja kuwa ameshatangaza kilo zake ngapi na wewe unakwenda kabisa kwa kujua unaenda kuchukua kilo kadhaa.

Kwa ufupi ni kuwa kuna jamaa wanahitaji huo ufuta kwa kiasi kikubwa yaani kwa kwa mahitaji ya viwanda ambapo zitahitajika konteina kadhaa na siyo gunia kadhaa.

Nasubiri ujumbe wako na mwakani mwezi April, ntakutafuta.

Unachosema ni kweli lakini kwa uzoefu wangu huku TZ wakulima huwa wanaitaji hela sana kwa sababu kipindi hicho huwa uchumi wao hauko vizuri kuhusu wingi wa ufuta ukweli huwa ni mwingi sana kipindi cha mavuno unaweza pata minimum hata tone 10,000 kwa kuanza kunawakulima wakubwa 20 ambao nitaongea nao kama kama soko litakua la uwakika.
 
Habari WanaJamii,

Nimekuwa nikipata taarifa juu ya zao hili la na hivyo nimetokea kupata hamasa ya kuanza kulima hili zao kwani nami ni mdau mkubwa wa ujasiriardhi.

Hivyo basi naomba msaada kwa yeyote. Hivi huu msimu wa Mvua za Vuli unafaa kwa kilimo cha ufuta? ambao unatarajiwa kuanza mwezi Octoba.

Natanguliza shukran zang za dhati.

Ahsante
 
Jaman bila shaka najua kabisa kwa kudra za Mwenyezi Mungu wengi wetu ni wazima kabisa.

Jamani kuna maeneo yanaitwa Bungu ipo njia ya barabara ya Kilwa, nimebahatika kupata eneo la ardhi na namshukuru sana Mungu nimepata eneo kubwa, sasa nlikua nafikiria kufanya kilimo mbadala tofauti na shughuli za ufugaji ambazo nimekua nkizifanya kwa muda mrefu.

Sasa nimesikia kilimo cha ufuta maeneo yale ni safi saaana lakini tatizo kubwa sijapata uelewa sahihi juu ya kilimo hiki, TAFADHALI MWENYE KUFAHAMU NAOMBA ANIELEZE.

My take
Jamani maeneo yale ya Bungu wananchi wengi wazawa wanauza ardhi zao kwakua nimesikia kuna mpango wa kuendeleza maeneo na wakazi wengi hawana uwezo wa kua na makazi bora, sasa kama mtu anahitaji tafadhali vijana wenzangu nadhani ni fursa nzuri sana kweyu kama vijana kuwahi umilikaji huu kwa bei rahisi ambazo najua ukiamua kuacha mambo ya bia na starehe unauwezo wa kununua.

Nawasilisha karibuni kwa maoni.

Mkuu unaweza kunielekeza nafikaje huko bungu?
 
Jaman bila shaka najua kabisa kwa kudra za Mwenyezi Mungu wengi wetu ni wazima kabisa.

Jamani kuna maeneo yanaitwa Bungu ipo njia ya barabara ya Kilwa, nimebahatika kupata eneo la ardhi na namshukuru sana Mungu nimepata eneo kubwa, sasa nlikua nafikiria kufanya kilimo mbadala tofauti na shughuli za ufugaji ambazo nimekua nkizifanya kwa muda mrefu.

Sasa nimesikia kilimo cha ufuta maeneo yale ni safi saaana lakini tatizo kubwa sijapata uelewa sahihi juu ya kilimo hiki, TAFADHALI MWENYE KUFAHAMU NAOMBA ANIELEZE.

My take
Jamani maeneo yale ya Bungu wananchi wengi wazawa wanauza ardhi zao kwakua nimesikia kuna mpango wa kuendeleza maeneo na wakazi wengi hawana uwezo wa kua na makazi bora, sasa kama mtu anahitaji tafadhali vijana wenzangu nadhani ni fursa nzuri sana kweyu kama vijana kuwahi umilikaji huu kwa bei rahisi ambazo najua ukiamua kuacha mambo ya bia na starehe unauwezo wa kununua.

Nawasilisha karibuni kwa maoni.

Kaka mim nipo vizuri kidogo ila inabidi un PM no yako ili tuongee vizuri maana ufuta unapesa nzuri sana sema kazi ipo kidogo kwenye kulima ila ukilima kitaalamu utapata sana pesa na hapa ndipo wengi hukosea.
 
Kuna maeneo yanatarajiwa kuanza kugawiwa baada ya msimu huu wa kilimo watagawa bure labda tuwasiliane itakua vyema. Back to the topic. Bei za hzi mbegu zinaendaje?

Na zinapatikana only Lindi? (referring to hyo the best lindi 02)
Per acre unaweza kutumia kilo ngap?

Wapi mawasiliano G mbona kimya tena?
 
Hakuna wasiwasi Mkuu. Pamoja sana na mie ntawajulisha kuhusu kipindi kizuri cha mavuno.

Sasa ununuaji ni mtu unakuja na roli au kuna vyama vya ushirika kiasi kwamba ukija, unakuta wamejipanga na wewe unachukua mzigo na kuwaachia fedha? Maana hili kwa kweli linatuangusha sana. Wananchi wangelikuwa wanachukua data na kujitangaza basi inakuwa rahisi mtu siku moja anakuja na kuchukua mzigo wote kutokana na kila mmoja kuwa ameshatangaza kilo zake ngapi na wewe unakwenda kabisa kwa kujua unaenda kuchukua kilo kadhaa.

Kwa ufupi ni kuwa kuna jamaa wanahitaji huo ufuta kwa kiasi kikubwa yaani kwa kwa mahitaji ya viwanda ambapo zitahitajika konteina kadhaa na siyo gunia kadhaa.

Nasubiri ujumbe wako na mwakani mwezi April, ntakutafuta.

Mkuu niPM mawasiliano yako tuongee kwa kirefu maana hizo habari no njema saaana. Tafadhali nipM simu or email
 
Its okey ukisema msimu huu unamaanisha nin mwaka 2014? kuhusu mbegu kuna wakala anaezitoa hizi mbegu watu uwa wanagombania sana kwa sababu wenye huzipima na kuzihifazi vizuri kitaalam mpaka wakati wa msimu wa kupanda tuwasiliane waweza nitumia email kwenye hii adress ntmgenesis@yahoo.com nitakupatia number yangu ya simu ili tuongee zaidi na pia ili nikuwekee order MBEGU zina kuwa packed vizuri kwenye mifuko ya kg 2 mwaka jana tulinunua elfu tano ila demand ilikuwa kubwa nazani watapandisha bei december 2014 ila ujiandae atakama utataka tone tutapata la msingi kutoa order ila ingekuwa vyema useme unaitaji kiasi gani niwaambie kabisa; lasivyo kwa uko mtaani utauziwa mbegu mchanganyiko wa aina mbalimbali au zisizoota kabisa

Mkuu nakuEmail sasa hivi. Naomba ushirikiano wako mkuu
 
Mkuu,

Mie simu yangu na email huwa ipo hapa maana ni moja ya kazi zangu kuunga wafanya biashara wa Poland na Tanzania.

Hivyo jisikie huru kuniandikia kuangalia kama utaweza kuifanya biashara hiyo pamoja na nyingine nyingi.

EMAIL: Ssambali@hotmail.com
Tel: +48503535735

Mkuu niPM mawasiliano yako tuongee kwa kirefu maana hizo habari no njema saaana. Tafadhali nipM simu or email
 
Back
Top Bottom