Vivac
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 466
- 460
Any place kwenye maji mengi Tanzania hii unaweza kulima vitunguu. Hata ukichimba kisima waeza kuanza kilimo cha vitunguu mkuu. Iringa kuna mashamba mengi yenye rutuba, Ruvu chini, Hata mikoani anywhere as long as una ardhi vitunguu yake maji tu.
Nashukuru sana, Vp khs upatkanaj wake? Mashamba n ya kununua au kukodi? Na gharama yake n ipi?