Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

Kabla ya yote ingefaa usearch nyuzi zote zinazohusiana na kilimo cha mitiki upandaji,matunzo,uthamani wake na soko lake limekaaje. Vyote hivyo vimo humu na vishaongelewa sana ndugu!
Kisha mimi ntakusaidia kupata mbegu zake iwe kwa punje(uoteshe kitaru chako mwenyewe) ama mche(upande moja kwa moja miche iliyokwisha andaliwa)
Kwa kukuondoa tongotongo tu ni kwamba wazo ulilofikiria ni hatuamoja mhimu na adhimu ya kuupiga teke umasikini na kusonga mbele zaidi.
Nakushauri usirudi nyuma mkuu mimi nipo kwenye mchakato wa kuvuta kitu kama M300 mkopo kutokana na mitiki. Je, unahisi kuna uwezekano wa kuwa masikini tena?!
Nawasikitikia sana vijana wenzangu kuendelea kutumikishwa na mkoloni na vilio visivyoisha juu ya mtaji wamesahau kuwa Bongoland full tambarareeeee!

mitiki yako ina miaka mingapi?
mkopo wa m300 ni kwa mitiki mingapi?
ni aina gani ya mkopo?
 
Nimevutiwa na hii habari ya miti,nina shamba langu Tanga 20km kutoka mjini njia ya kuelekea Mombasa.naomba kujua ni miti ya aina gani inafaa,na ni miezi gani inafaa kupanda.
 
Ukanda wa pwani wote unafaa kwa kupanda mitiki. Upandaji yafaa uanze kipindi cha mvua kuanzia mwishoni mwa feb mpaka apr kutegemeana na wingi wa mvua ktk mwaka na eneo husika. Kinachopandwa ni mche uliootesha kwa angalau mwaka moja. Unakata shina cm kadhaa i.e size kidole cha kati na mzizi mkuu hukatwa na kisha kuondoa mizizi midogo. Panda kwa spacing ya 2.5cm shina na mstari. Kwa haraka ekari moja itacontain around miche 650 mpaka 800 kucover itakayokufa.
 
mitiki yako ina miaka mingapi?
mkopo wa m300 ni kwa mitiki mingapi?
ni aina gani ya mkopo?
Mkuu hili tulishajadili sana humu. Jitume kutafta habari sio kila kitu utafuniwe!
Mitiki nayochukulia mkopo ni mingi kiasi cha ekari tano na mikopo hutolewa kuanzia miti ya miaka mitatu na hata ukiwa na ekari moja utapewa mkopo kulingana na ushawishi wa biashara utakayofanya na wepesi wa kurejesha mkopo.
 
Asante sana mkuu kwa ufafanunuzi,nimekuelewa vyakutosha.nashukuru sana

Haina shaka mkuu, Hima na jipange sasa uanze kupanda mitiki na miti aina nyingine kwa faida yako, wanao na wajukuu zako.
 
Habari zenu wadau wa JF. kwanza niwatakie kheri ya mwaka mpya nyote, na niwatakie mafanikio katika mwaka huu ulioanza. Leo ninaomba kwa mwenye ufahamu na procedure za kufuata ili kuandaa shamba kwa ajili ya kupanda miti ya mitiki, hasa kama shamba tayari lina mimea mingine kama vile mikorosho ambayo imeshazeeka.
 
Ondoa hiyo mikorosho yote kisha lima kwa trekta hallow then tafuta miche ya mitiki upande 2.5metres apart&each. So kwenye ekari1 utakuwa na miche 640.
Ukitaka stamp za hii miche nitafute mimi kwa shehena yoyote ile bei sh 250 haipungui.
Kama upo ukanda wa pwani kipindi kizuri cha kupanda ni kuanzia 15th march.
 
Ondoa hiyo mikorosho yote kisha lima kwa trekta hallow then tafuta miche ya mitiki upande 2.5metres apart&each. So kwenye ekari1 utakuwa na miche 640.
Ukitaka stamp za hii miche nitafute mimi kwa shehena yoyote ile bei sh 250 haipungui.
Kama upo ukanda wa pwani kipindi kizuri cha kupanda ni kuanzia 15th march.

Ahsante sana Kisima nimekusoma mkuu.
 
Ondoa hiyo mikorosho yote kisha lima kwa trekta hallow then tafuta miche ya mitiki upande 2.5metres apart&each. So kwenye ekari1 utakuwa na miche 640.
Ukitaka stamp za hii miche nitafute mimi kwa shehena yoyote ile bei sh 250 haipungui.
Kama upo ukanda wa pwani kipindi kizuri cha kupanda ni kuanzia 15th march.


habari mkuu!
Samahani, hv maeneo ya misugusugu, ukipita picha ya ndege kibaha au kabla hujafika Visiga, panaweza kufaa kupanda hiyo miti ya mitiki ?
 
habari mkuu!
Samahani, hv maeneo ya misugusugu, ukipita picha ya ndege kibaha au kabla hujafika Visiga, panaweza kufaa kupanda hiyo miti ya mitiki ?

Mkuu Kilimo mitiki inastawi ukanda wote wa pwani, kwa mikoa ya pwani, moro na tanga ndipo mahala pake haswaa kwa upandaji wa mitiki. Maeneo ya baridi kali mitiki haikui haraka na hudumaa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kilimo mitiki inastawi ukanda wote wa pwani, kwa mikoa ya pwani, moro na tanga ndipo mahala pake haswaa kwa upandaji wa mitiki. Maeneo ya baridi kali mitiki haikui haraka na hudumaa.

Na je ndugu huchukua mda wa miaka mingapi adi kuvunwa mana watu wanaongea mengi sana
 
Last edited by a moderator:
Habari za leo wakuu,samahani naomba kujua inachukua muda gani toka kupandwa mpaka kukomaa kwa mti wa mtiki?na je bei ya soko kwa sasa hivi ikoje mathalani kwa mti mmoja ?
 
mkuu bandubandu search humu ndani utapata nyuzi nyingi kuhusiana na mitiki.
 
Last edited by a moderator:
Na je ndugu huchukua mda wa miaka mingapi adi kuvunwa mana watu wanaongea mengi sana

15+ yrs mkuu, kama umeamua kujikita kwenye kilimo cha miti nakushauri upande na pines, cyprus, msila etc hii inavunwa mapema kuliko mitiki, japo mitiki ni habari nyingine interms of thamani.
 
Mkuu Kilimo mitiki inastawi ukanda wote wa pwani, kwa mikoa ya pwani, moro na tanga ndipo mahala pake haswaa kwa upandaji wa mitiki. Maeneo ya baridi kali mitiki haikui haraka na hudumaa.


mkuu nashukuru sana,
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom