hivi mbegu kama hizi (pines, eucalyptus saligna etc) hatuwezi kuziagiza Kenya au nchi nyingine na kuzipata? maana naona hapa TZ panazidi longo longo sana!!
Kuna uzembe mkubwa sana hapa Tz kila idara. Zipo mbegu za kutoka Zimbabwe ( pines za miaka 8 etc),lakini mpaka hapo mkulima mdogo atakuwa ameumia,yaani nusu kilo ya mlingoti itoke nje,wakati kituo kipo,si sawa. Ikibidi tutafanya hivyo.