Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

opportunity is every where is just a matter of oppening ur eyes, kiongozi usikate tamaa sisi tuliopo pwani tunanufaika na soko kuwa karibu so this is our competitive advantage ukilinganisha na wewe ila kuna maeneo wewe ni mzuri zaidi kuliko sisi and this we call comparative advantage na ndizo hizo unatakiwa kuzijua na kuwekeza katika maeneo hayo.

Mathalani hali ya hewa ya pwani una support kilimo cha mboga mboga na matunda ambayo ni perishable sasa kuna mazao mengine kama vannila hayakubali kabisa huku pwani ila maeno kama Bukoba na manyovu kigoma ndio mahara pake na bei yake the last 2 yrs ilikuwa 1o,ooo/= kwa kilo sasa pamoja na kuporomoka kwa thamani ya sarafu yetu nadhani sasa inawezekana ikawa may be 15,ooo/= kwa kilo sasa pamoja na maeneo mengine mengi hili ni moja ya eneo ambalo wewe hatuwezi kupambana nawe kwa sababu wewe ni mzuri zaidi and we cant do any thing to beat you, take your advantage and explore the opportunity!

Mkuu hiki kilimo cha vanilla nilikuwa nakifikiria sana, tatizo ni muda na source of info jinsi ya kuanza, ardhi, hali ya hewa, gharama za kilimo, na bei ya zao sokoni. Nashukuru sana kuona mchango wako, umenipa mwanga kiasi.

SWALI: Naomba unisaidie mbali na kigoma, bk (ulimaanisha bukoba?), maeneo ya kanda ya ziwa zao linakubali? mfano sengerema, geita? maana hapo ktk maeneo uliyoweka yote ni sehemu ya ziwa. Pia naomba unieleweshe ya hapo juu jinsi ya kuanza, ardhi, hali ya hewa, gharama za kilimo

Kilimo kwanza
 
mkuu hiki kilimo cha vanilla nilikuwa nakifikiria sana, tatizo ni muda na source of info jinsi ya kuanza, ardhi, hali ya hewa, gharama za kilimo, na bei ya zao sokoni. Nashukuru sana kuona mchango wako, umenipa mwanga kiasi.

SWALI: Naomba unisaidie mbali na kigoma, bk (ulimaanisha bukoba?), maeneo ya kanda ya ziwa zao linakubali? mfano sengerema, geita? maana hapo ktk maeneo uliyoweka yote ni sehemu ya ziwa. Pia naomba unieleweshe ya hapo juu jinsi ya kuanza, ardhi, hali ya hewa, gharama za kilimo

Kilimo kwanza

hello check the followings link might be useful ,
VanillaReview.com · Growing vanilla in Tanzania
Tani 20 za Vanilla kuuzwa nchini Marekani
 
Kuhusu kilimo cha vanilla Tanzania tafadhali tembelea website ya Wizara ya kilimo, utapata kila kitu humo.
mkuu hiki kilimo cha vanilla nilikuwa nakifikiria sana, tatizo ni muda na source of info jinsi ya kuanza, ardhi, hali ya hewa, gharama za kilimo, na bei ya zao sokoni. Nashukuru sana kuona mchango wako, umenipa mwanga kiasi.

SWALI: Naomba unisaidie mbali na kigoma, bk (ulimaanisha bukoba?), maeneo ya kanda ya ziwa zao linakubali? mfano sengerema, geita? maana hapo ktk maeneo uliyoweka yote ni sehemu ya ziwa. Pia naomba unieleweshe ya hapo juu jinsi ya kuanza, ardhi, hali ya hewa, gharama za kilimo

Kilimo kwanza
 
Wakubwa mimi nina swali moja, jee mbegu kutoka north america zinaweza kumea vizuri hapa nyumbani?

Hi Mtanganyika. Mimi nilikuja huko kushangaa mwaka 2005 nilikuwa Florida na ni mpenzi wa matikiti maji. Kufika huko nikakuta mazuri na makubwa nikataka kuchukua mbegu (ilikuwa kwenye kama gulio, wanaita fleas(?) market.

Jamaa akanichimba mkwara kuwa ni marufuku kuvusha kwenda popote pale. Na uwanja wa ndege pia waliniuliza kama kuna mtu kanipa pesa ama kitu kingine chochote niwapelekee jamaa zake nyumbani. Hivyo kama ukiweza toka nazo nifahamishe kwa PM

Nyati
 
Hiv ni maeneo gani yanalipa zaidi kwa kilimo cha matikit maji.naomba kujua pia bei za mashamba kwa maeneo hayo.seriously nataka nianze biashara hii, nipo tayari kuhamia maeneo hayo ila kwasababu ndo ntakua naanza ningependa kupata maeneo ambayo mashamba si bei ghali sana.

Naombeni msaada wenu wakuu.
 
malila nashndwa kureply pm yako kwasababu nimejiregister jana tu na ninaambia niwe na 5 posts ndo ntaweza kureply.naomba tuwasiliane kwa email kama hutajali. theonyoni@gmail.com.
thanx in advance
 
Jamani habarini za wkend.., naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake?. Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi kwa matikiti maji, unavunwa mara ngapi na kwa kipindi/interval gani? Nataka kulima, yanalipa sana nisaidieni tafadhali.

Naomba msaada je dawa za kuua wadudu ktk tikiti maji,unaspray wakati gani,aina ya dawa na mbolea aina gani inatumika kwa anayejua tafadhali
 
Mzee kwa project kubwa ka hiyo huezi nambie hujui soko liko wapi! lakini kwa vyovyote vile lazima utatoa minimum kuanzia tonne 600+ kwa shamba la acre mia, endapo utapiga dawa za wadudu atlist after every two weeks ( this is for better yield) itaweza kufika tonnes 800. Sjui umepanga kupanda matikiti ya aina gani, kama tunavojua yako aina nyingi.

Mimi ningekua nalima acre 100 soko la kwanza ni processing industries e.g bakheresa etc soko la pili ni kuexport to the middle east au europe. unaweza ukapata assistance nzuri TAHA ( tanzania horticulture association).

Good luck with the project, we need people like you.
 
Maverick supplies, ni kampuni inayoshughulika na uuzaji wa mazao ya chakula hasa mayai na matikiti maji. Kwa yeyote mwenye mahitaji ya kuuziwa bidhaa izi kwa tender au kwa jumla, naomba afanye mawasiliano na mkurugenzi wa kampuni kupitia 0713079661 kwa maelewano ya kibiashara.
 
Maverick supplies, ni kampuni inayoshughulika na uuzaji wa mazao ya chakula hasa mayai na matikiti maji. Kwa yeyote mwenye mahitaji ya kuuziwa bidhaa izi kwa tender au kwa jumla, naomba afanye mawasiliano na mkurugenzi wa kampuni kupitia 0713079661 kwa maelewano ya kibiashara
 
Ninaomba msaada wa wataalamu wa Kilimo cha tikiti

nina kama ekari mbili huko bagamoyo

sasa swali ni hili ...naweza kuvuna matikiti mangapi kwa ekari mbili?

na wapi naweza pata mbegu bora na msaada wa kitaalamu?

na maelezo mengine tafadhali..........
 
10 to 15 tons per hectare according to the sites hapo chini angalia kwa more details.., kuhusu mangapi inategemea na aina matikiti, mbegu inayozaa mengi per plant yanakuwa madogo ukitaka yawe makubwa basi ni machache per plant.

kupata kumi per one plant nadhani inawezekana ila size yake itakuwa ndogo ndogo (kumbuka ili izae vizuri yanahitaji kuwa polinated sababu sio self polinating plant kwahio kama kuna nyuki karibu its better for you)
Watermelon Production Guide - TheFilipinoEntrepreneur.Com

Watermelon Production - Oklahoma State University
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom