Dosari za muungano, ilikuwa uhaini kuiua Tanganyika, ona mzimu wake unatuandamaWadau wenye uelewa, mnaweza kufafanua? Kilimanjaro Stars hawana bendera yao?
Kwa nini??Tanganyika haina bendera
Kwa sababu haitambulikiKwa nini??
Wimbo wa taifa pia, jezi wanazotumia ndo zile zile za taifa stars. Nadhani hizi Ni miongoni mwa dosari za muungano.Wadau wenye uelewa, mnaweza kufafanua? Kilimanjaro Stars hawana bendera yao? Naona Zanzibar Herroes wana bender yao
Eti mtoto mdogo ktk familia huwa anakingiwa kifua kwa kudhani kuwa muda woote anaobewa lkn hapa Tanganyika inaporwa na wahuni.Wimbo wa taifa pia, jezi wanazotumia ndo zile zile za taifa stars. Nadhani hizi Ni miongoni mwa dosari za muungano.
Sports kwenye Siasa.Wadau wenye uelewa, mnaweza kufafanua? Kilimanjaro Stars hawana bendera yao? Naona Zanzibar Herroes wana bender yao
Zanzibar ni autonomous government within Tanzania na haina kiti Umoja wa Mataifa. Kwa hiyo Kilimanjaro Stars inastahili kutumia bendera ya Tanzania. Sawa na England icheze versus GibraltarWadau wenye uelewa, mnaweza kufafanua? Kilimanjaro Stars hawana bendera yao? Naona Zanzibar Herroes wana bender yao
ulitaka Watumie Ya Burundi?Wadau wenye uelewa, mnaweza kufafanua? Kilimanjaro Stars hawana bendera yao? Naona Zanzibar Herroes wana bender yao
kama Muungano Unakuuma JinyeeTanzania tuna muungano wa changu changu, chako changu. Ifikie wakati Wazanzibari wajitegemee sasa kama nchi kwa 100%.
Maana wana wimbo wao wa Taifa, wana Rais wao, wana Bunge lao, wana mipaka yao, wana vyombo vya dola, nk! Sasa kuna sababu gani ya wao kuendelea kuwa kupe wa Tanganyika?
Mifi wewe.kama Inakuuma Jinyee