Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,014
- 32,462
Wanakumbi.
Hii mpya. Israel sasa wanatumia bendera ya Tanzania ili kupitisha bidhaa na silaha toka UAE kuelekea Israel kupita red sea. Iran imeilazimisha hiyo meli kusarenda kwao huko Gulf area.
Mambo magumu kwa Israel pamoja na Marekani kusema analinda red sea wanawaogopa Houthis. Tanzania wanatumika wanatafuta matatizo na Houthis hii bandari yetu itakosa meli hata moja.
Hii mpya. Israel sasa wanatumia bendera ya Tanzania ili kupitisha bidhaa na silaha toka UAE kuelekea Israel kupita red sea. Iran imeilazimisha hiyo meli kusarenda kwao huko Gulf area.
Mambo magumu kwa Israel pamoja na Marekani kusema analinda red sea wanawaogopa Houthis. Tanzania wanatumika wanatafuta matatizo na Houthis hii bandari yetu itakosa meli hata moja.