Kilimanjaro International Airport - JRO Hali yake ikoje, mbona haiweleweki?

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Kilimanjaro International Airport -KIA (JRO) hali yake ni TETE, haieleweki.

Waziri wa Mali Asili na Utalii aulizwe ni sababu zipi watalii wengi wanaokuja Tanzania wanatua NAirobi Jomo Kenyatta Airport na ndipo waje Tanzania? Je Wizara itachukuwa hatua gani ili Landing fee ya KIA ishuke bei na mafuta ya ndege hapo KIA yashuke Bei ili ndege nyingi zitue KIA Tanzania kuliko Kenya.

Ajira zitaongezeka, watalii wataongezeka, na serikali itakusanya kodi nyingi. Pia Ni aina ya marketing,
 
Kilimanjaro International Airport -KIA (JRO) hali yake ni TETE, haieleweki.

Waziri wa Mali Asili na Utalii aulizwe ni sababu zipi watalii wengi wanaokuja Tanzania wanatua NAirobi Jomo Kenyatta Airport na ndipo waje Tanzania? Je Wizara itachukuwa hatua gani ili Landing fee ya KIA ishuke bei na mafuta ya ndege hapo KIA yashuke Bei ili ndege nyingi zitua KIA Tanzania kuliko Kenya.

Ajira zitaongezeka, watalii wataongezeka, na serikali itakusanya kodi nyingi. Pia Ni aina ya marketing,



Ni uwanja mzuri tu tena kutokana na hali ya hewa ya pale ni mzuri kuliko wa Dar kwani ni msafi saa zote hauihitaji air conditioner kama Dar ni waziri kusikia huo wito uliotoa
 
Sababu ni kwamba wakurugenzi wamekuwa wakijipangia viwango.
Hususan rental fees na hizi Airport entry fee ambazo zinawachanganya wenye akampuni ya kitalii
Kwani Jamani hamjui kuwa pale ni ufisadi tuu, KADCO wamekuwa wakikusanya pesa na kula zote,
Hivi huwezi kujiuliza kwa nini serekali inapiga vita matumizi ya magari ya kifahari ili hali wakurugenzi wa KADCO wamekuwa wakijinunulia magari ya milioni 150 kila mmoja.
Hili limeanza pale tuu walipoambiwa kuwa Shea za KADCO zimenunuliwa na serekali
 
Back
Top Bottom