Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.