Kilichonivutia JF..

Ndungi

Member
Oct 31, 2016
28
15
Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
 
Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.


New I'd mnatutakisha nn
 
Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Karibu sana
 
Kumbuka pia humu kuna uhakiki wa vyeti humu.. Maana kila mtu humu kasoma chuo udsm na kila mtu ni maneger/ director wa sehem flan

Wengi wana ela, magari, madem/ waume wazuri
 
saw karibu mkuu,ila nawe uwe unaleta habari mpya ukipat.usitegemee tu walete wengne kam uvokuwa unazionaaa.....kiding
 
Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Aamenn karibu mae!!
 
Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Karibu ila pumzika sebuleni kwanza ujuzwe utaratibu ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom