Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
kwa hiyo mkuu unatuhakikishia kuwa ofisi yenu yoote watu woote oktoba 25 watapigia ukawa?? Kama ni hivyo basi ni vema na haki, hamasisheni na zile ofisi za majirani zenu (stakeholders) na familia zenu zooote wapigie ukawa ili tuanze upya kuijenga nchi yetu.... Safi sanaaaa.. Mungu awape afya njema tufike oktoba....
aisee hapa hilo halina pingamizi,tena bosi alitupa likizo ili tukajiandikishe bvr kwa hiyo kila mtu ana kikato