Chamkoroma
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 186
- 11
Wapendwa jamvi ili liwe la kumkomboa mtz wa anayenyanyaswa na maafidhina na mafisadi lkn matusi na au kukosoana nakusababisha chuki s vema sote wapiganaji sote na wajeshi na wanawasiasa safi na uongozi bora na si bora uongozi.