Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,278
- 105,480
jamani unakasirika nini nani hajui huku kama umeshaoa mara 4 pitapita humu ndani utapata majibu ka sikuwezi unataka kumwibia nani hapa
Hujaniona nikikasirika bado, na wala usiombee.
Na kama huko kuoa mshenga ulikuwa wewe sawa, lakini kama unakwenda kwa porojo za JF angalia kuparamia habari za wanaume, utaolewa wewe bila mshenga wala mahari.