telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
- Thread starter
- #21
Nimejaribu kupakapaka rangi hayo maneno wakati natafakari I can't wait eti atabadilika lini kwani mimi nesi mpaka kuniandaa kuuguza migonjwa anayo jitafutia ???
haya nimekupata imependeza kweli kumbe bado unafanya hii kazi ya kupaka rangi madaftari mh nilijua uliachia msingi