Uwe unampiga makonzi kabla hujatoka nyumbani.
Mwenyewe utaona atakavyotulia ndani ya boxer.
pole
nikawaida ..urijari uo bt jaribu kuwa na demu wako...au km unaye uwe unamalizana nae mzigo kamili siyo mnapena nusu nusu ukitoka nje ukiona paja kitu inastand up....PUNGUZA KUWAZA NGONO...wewe ukiona mapaja tu akili yako unaiamisha unaipeleka kuleeeeeee...jaribu kujicontrolll...POLE
UnaakiliEng .
Wako binadamu wenye tabia kama "fisi maji" so sio ugonjwa ni "uhlka"!
Pili unaweza kununua REVOLA za kutosha ili ikifika jioni unatumia muda mwingi bafuni!
Tatu, acha ubahili, siku hizi pesa inaweza kukata "kiu" ya kitu chochote unachohitaji!