Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Wana JF habari za weekend?
Mimi ya kwangu ilikuwa bomba lakini ninaomba msaada wenu kwa hili!
Mimi nina tatizo kabwa huwa linanisumbua ingawa sio mara kwa mara coz huwa linatokea mara mojamoja sana!
Kuna baadhi ya siku huwa jamaa ha2lii ndani ya underwear coz huwa anasimama pindi 2 aonapo kiumbe mrembo kavaa nguo ya kutega(I mean skirt fupi na Matiti kuacha wazi)!!
Kuna wakati hiyo hali hainitokei kabisa hata akipita kiumbe wa namna gani na kavaa nguo ya aina yoyote!!!
Jamani naomba mawaidha yenu huu ni ugonjwa au nini kinanisumbua na kuleta hii hali ndani ya mwili wangu??!!
Mimi ya kwangu ilikuwa bomba lakini ninaomba msaada wenu kwa hili!
Mimi nina tatizo kabwa huwa linanisumbua ingawa sio mara kwa mara coz huwa linatokea mara mojamoja sana!
Kuna baadhi ya siku huwa jamaa ha2lii ndani ya underwear coz huwa anasimama pindi 2 aonapo kiumbe mrembo kavaa nguo ya kutega(I mean skirt fupi na Matiti kuacha wazi)!!
Kuna wakati hiyo hali hainitokei kabisa hata akipita kiumbe wa namna gani na kavaa nguo ya aina yoyote!!!
Jamani naomba mawaidha yenu huu ni ugonjwa au nini kinanisumbua na kuleta hii hali ndani ya mwili wangu??!!