Kila nikimwona Binti kavaa nguo za kutega Jamaa Anasimama!!

Eng. Smasher

JF-Expert Member
Nov 13, 2010
745
23
Wana JF habari za weekend?

Mimi ya kwangu ilikuwa bomba lakini ninaomba msaada wenu kwa hili!
Mimi nina tatizo kabwa huwa linanisumbua ingawa sio mara kwa mara coz huwa linatokea mara mojamoja sana!

Kuna baadhi ya siku huwa jamaa ha2lii ndani ya underwear coz huwa anasimama pindi 2 aonapo kiumbe mrembo kavaa nguo ya kutega(I mean skirt fupi na Matiti kuacha wazi)!!
Kuna wakati hiyo hali hainitokei kabisa hata akipita kiumbe wa namna gani na kavaa nguo ya aina yoyote!!!

Jamani naomba mawaidha yenu huu ni ugonjwa au nini kinanisumbua na kuleta hii hali ndani ya mwili wangu??!!
 
Mhandisi, dawa ni ndogo...tafuta binti mrembo sema naye kisha nenda ukakate kiu hadi iishe then utakuwa normal, siyo ugonjwa ni kiu tuuuuuuuuuu. Punguza kushinda kwenye mitambo(workshop) au site!!!!
 
pole
nikawaida ..urijari uo bt jaribu kuwa na demu wako...au km unaye uwe unamalizana nae mzigo kamili siyo mnapena nusu nusu ukitoka nje ukiona paja kitu inastand up....PUNGUZA KUWAZA NGONO...wewe ukiona mapaja tu akili yako unaiamisha unaipeleka kuleeeeeee...jaribu kujicontrolll...POLE
 
Hilo la kawaida sana hata mimi huwa linanitokea sana tu, ila ni kipindi fulani.
Aisee usiombe ni mbaya maana yaweza kukutokea mbele za watu halafu Mh! MTUTUMKO. Lakini huwa yanapita

Sasa tufanyeje?????
 
Ushauri wako ni ULTIMATE NA TRUTH! Ila sasa utekelezaji wake mgumu sana! mawazo sometimes du! hata leo imenitokea tena kazini usiulize imekuwaje!
pole
nikawaida ..urijari uo bt jaribu kuwa na demu wako...au km unaye uwe unamalizana nae mzigo kamili siyo mnapena nusu nusu ukitoka nje ukiona paja kitu inastand up....PUNGUZA KUWAZA NGONO...wewe ukiona mapaja tu akili yako unaiamisha unaipeleka kuleeeeeee...jaribu kujicontrolll...POLE
 
Mkuu sumtym ilikuwa inanitokea hata wakati ambao nimeshinda na mtoto mrembo siku nzima but nikitoka na kuona kiumbe mwingine katega jamaa anakomaa kustand up!!

Mhandisi, dawa ni ndogo...tafuta binti mrembo sema naye kisha nenda ukakate kiu hadi iishe then utakuwa normal, siyo ugonjwa ni kiu tuuuuuuuuuu. Punguza kushinda kwenye mitambo(workshop) au site!!!!
 
Eng .

Wako binadamu wenye tabia kama "fisi maji" so sio ugonjwa ni "uhlka"!

Pili unaweza kununua REVOLA za kutosha ili ikifika jioni unatumia muda mwingi bafuni!

Tatu, acha ubahili, siku hizi pesa inaweza kukata "kiu" ya kitu chochote unachohitaji!
 
Naweza nikawa siwazi NGONO na nikawa na demu pia mzigo umepigwa kamili lakini hiyo hali inanitokea!!
Pia haitokei mara kwa mara!!

pole
nikawaida ..urijari uo bt jaribu kuwa na demu wako...au km unaye uwe unamalizana nae mzigo kamili siyo mnapena nusu nusu ukitoka nje ukiona paja kitu inastand up....PUNGUZA KUWAZA NGONO...wewe ukiona mapaja tu akili yako unaiamisha unaipeleka kuleeeeeee...jaribu kujicontrolll...POLE
 
pole
nikawaida ..urijari uo bt jaribu kuwa na demu wako...au km unaye uwe unamalizana nae mzigo kamili siyo mnapena nusu nusu ukitoka nje ukiona paja kitu inastand up....punguza kuwaza ngono...wewe ukiona mapaja tu akili yako unaiamisha unaipeleka kuleeeeeee...jaribu kujicontrolll...pole
Da rose 1980 nyumbani hawajambo? Umerudi lini?
 
Eng .

Wako binadamu wenye tabia kama "fisi maji" so sio ugonjwa ni "uhlka"!

Pili unaweza kununua REVOLA za kutosha ili ikifika jioni unatumia muda mwingi bafuni!

Tatu, acha ubahili, siku hizi pesa inaweza kukata "kiu" ya kitu chochote unachohitaji!
Binafsi bado sijakuelewa katika Bolds, maana kama hulka isingekuwa msimu fulani tu, halafu revla ndugu si kujiua huko sasa au imekaaji hii wanajamii!
Kwenye suala la pesa unapataje hawa hiyo habari jamaa akalala?
 
Eng .

Wako binadamu wenye tabia kama "fisi maji" so sio ugonjwa ni "uhlka"!

Hili sio kweli labda ingekuwa inatokea frequently!

Pili unaweza kununua REVOLA za kutosha ili ikifika jioni unatumia muda mwingi bafuni!

Duh! I hope unajua REVOLA itabaki kuwa SOAP huwezi kifananisha na ile KITU!!!

Tatu, acha ubahili, siku hizi pesa inaweza kukata "kiu" ya kitu chochote unachohitaji!

Sio Ubahili ila najali afya yangu hata kama Condom zipo. Vipi ushawahi kuwa2mia uniambie raha yao??
 
Mkuu sumtym ilikuwa inanitokea hata wakati ambao nimeshinda na mtoto mrembo siku nzima but nikitoka na kuona kiumbe mwingine katega jamaa anakomaa kustand up!!
Ni kweli Mhandisi, unajua hawa mabinti wako tofauti sana, unaweza pata mtoto bomba ukammega hadi hamu ikaisha, ukitoka tu na kumuona mwingine mzee ana-stand up! na hata ukipewa tena baada ya kumaliza tu mzee anadai...dawa ni ku-do as much as you can, ila tumia kinga!!!
 
Kuna mtu mmoja alisema humu kuwa ingekuwa kama Bluetooth tungekuwa tunaingia kinyemela, tukamkatalia maana nayo lazima mtu afungue.
sasa hata hili ni two way akubali mweze ku DO, na kama mzee anasimama that sudden, bado labda hizo REVOLA MAANA NI WEWE TU!
Ni kweli Mhandisi, unajua hawa mabinti wako tofauti sana, unaweza pata mtoto bomba ukammega hadi hamu ikaisha, ukitoka tu na kumuona mwingine mzee ana-stand up! na hata ukipewa tena baada ya kumaliza tu mzee anadai...dawa ni ku-do as much as you can, ila tumia kinga!!!
 
huo ni ujana na hizo ndio adha za ujana.ila baada ya miaka michache tu hali itabadilika.kwa sasa fanya mazoezi ili uwe unachoka vya kutosha ili akili isiende kabisa kwenye hayo mambo.pia kwa kujisitiri zaidi vaa nguo nzito kidogo ndani.e.g waweza vaa boxer plus chupi ili kukomesha jamaa hata akisimama isije ikawa mushkeli kwa waliombele yako
 
Ushauri wangu acha kutamani wapita njia oa upate FULL DOZI na hako ka ugonjwa kataisha ila kama utaendekeza mwili tegemea mzee H.I. V kubisha hodi kwa spidi
 
Hapo umenena mkuu!! BIG UP sana!

Binafsi bado sijakuelewa katika Bolds, maana kama hulka isingekuwa msimu fulani tu, halafu revla ndugu si kujiua huko sasa au imekaaji hii wanajamii!
Kwenye suala la pesa unapataje hawa hiyo habari jamaa akalala?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom