.....kila mwenye hekima na aitumie kwa haki....makinika mapema.....

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Dec 13, 2009
3,398
319
....kujianika si jambo jema sana katika jamii....kubadirishana mawazo kunajenga akili,.. .....taifa lolote haliwezi kuendelea kwa kuwa na idadi kubwa ya wajinga... bali wenye uchungu na nchi ni wale waliojawa na hekima mioyoni mwao.....nao ni wale ambao......fikra na mawazo hayajatawaliwa na upumbavu na kujiona wao ni bora kuliko wengine....kwa pamoja tukiamka tutaweza kulijenga taifa lenye heshima huku tukiwapuza wenye ahadi mfu na pofu.
 
Back
Top Bottom