J john chammy Member Jun 28, 2012 37 1 Aug 21, 2012 #1 watu walikuwa wanapiga kelele nyingiiii sasa bac tunahitaj tokeo! ""!!
QUALIFIED JF-Expert Member Jun 13, 2012 773 112 Aug 21, 2012 #3 unaongelea nini!? Toka kichwa cha uzi mpk maudhui hakunaga duu
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,282 105,490 Aug 21, 2012 #4 Wazee, Wakati mkiwa mnakamata Johnny Mtembezi, Gin, Vodka, Nyagi etc, jaribuni kukaa mbali na vitu viwili kati ya vingi. Usukani, kwa sababu mnaweza kujiua. JF, kwa sababu mnaweza kutuua kwa habari zenu zinazotapisha kupita delta ya Mississippi au Rufiji.
Wazee, Wakati mkiwa mnakamata Johnny Mtembezi, Gin, Vodka, Nyagi etc, jaribuni kukaa mbali na vitu viwili kati ya vingi. Usukani, kwa sababu mnaweza kujiua. JF, kwa sababu mnaweza kutuua kwa habari zenu zinazotapisha kupita delta ya Mississippi au Rufiji.
Mbute na chai JF-Expert Member Jul 21, 2012 525 525 Aug 21, 2012 #5 Yanga kamfunga African Leon tatu bila, tokeo zuri sana jana 20 August, 2012.
QUALIFIED JF-Expert Member Jun 13, 2012 773 112 Aug 21, 2012 #6 Mbute na chai said: Yanga kamfunga African Leon tatu bila, tokeo zuri sana jana 20 August, 2012. Click to expand... hii imekaa vizuri nazan john chammy kapata anachotafuta
Mbute na chai said: Yanga kamfunga African Leon tatu bila, tokeo zuri sana jana 20 August, 2012. Click to expand... hii imekaa vizuri nazan john chammy kapata anachotafuta