CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
Jamani wana JF kuna jambo linasumbua sana kichwa changu nashindwa hata kulala na kufanya kazi zangu. Naomba mnipe mawazo yenu. Eti ''KULINGANA NA MAZINGIRA ULIYOPO nani kati ya MWANAUME na MWANAMKE kila day anatakiwa awe JUU ya mwenzie ktk maisha NDOA'' naomba kla mmoja wenu alete mawazo yake kulingana na TASWIRA aliyoijenga kichwani mwake.
Note: be care wiz upper cases...!!!
:wink2::wink2: