Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,166
Alijua kuwa anawaboa watu na maneno yake yasiyo na mbele wala nyuma, ndio maana watu wanaona bora kuangalia mpira kuliko kumsikiliza kiongozi wao. Na analifahamu hilo fika ndio maana aliwaomba radhiJuzi kwenye maswali mwisho aliwaomba radhi eti ohh kachukua muda mwingi hadi mechi ya mpira karibia inaisha ..... lol
mpira ni muhimu!!!!