Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Kama wewe ulivyo kiburudisho cha Mwigulu?Ah! Kiburudishoooooooooo! Sijui leo utatumika kwa stahili gani
Kama wewe ulivyo kiburudisho cha Mwigulu?Ah! Kiburudishoooooooooo! Sijui leo utatumika kwa stahili gani
Ana njaa gani
Mkuu achana na hawa mambwiga Mwigulu kesha wafanya overusedkaka si vema wala haki kijudhalilisha! Elimu yangu haitakusaidia chochote! Narudia kusema stick kwenye thread, nadhani itakusaidia zaidi!
Naona umemlinganisha Josephine Mushumbusi na Salma Kikwete. Hawalingani hata kidogo na JK ana washauri wengi nje ya mke wake
ndipo nilipoanzia, sikutegemea kashfa, nadhani ningechangia vizuri, ila kwa kuwa umetanguliza kashfa, basi tuendelee hivyo!kwani wewe tangu umeanza kuchangia umegusia mada hii zaidi ya kuuza sura tu?
wawe re-cycled! Bado ni productive, ni balaa hawa!mkuu achana na hawa mambwiga mwigulu kesha wafanya overused
at least someone is very matured here! Am humbled! Wale wengine, puuuuuunazihurumia familia zao kwa kweli!guys inatosha. Just take it easy.
Hatuwezi wote kuwa na hoja zilizo sawa kutofautiana ni kawaida.
Calm down tuendelee na ishu nyingine.
ni kweli mi ni kimada part time, mkeo huwa hataki kabisa kurudi kwako! Anataka full time kwa jinsi ambavyo hujielewi!na kimada mmojawapo ni huyu cacico
Naona umemlinganisha Josephine Mushumbusi na Salma Kikwete. Hawalingani hata kidogo na JK ana washauri wengi nje ya mke wake
kwa style hiyo hiyo aliyotumika nayo mkeo, just now! Yaania ndio katoka tu kubanjuliwa hapa namuona! By the way umefanya vema kuuliza!ah! Kiburudishoooooooooo! Sijui leo utatumika kwa stahili gani
ni mwanamke mwenzangu huyu! Huoni tunavyojibishana! Mtake radhi, si mwanaume kamili!...we jamaa acha ujinga basi,angalau mara mojamoja uwe na uhalali wa kuwepo jukwaani aahgrr...!
Naona umemlinganisha Josephine Mushumbusi na Salma Kikwete. Hawalingani hata kidogo na JK ana washauri wengi nje ya mke wake
Wanaotafuta mabwana humu
JF utawajua tu. huku tupo kikazi zaidi. Nenda kule FB utakuta minjemba
kibao inayotaka kuwa kama babu Slaa
Mke wangu hawezi kuwa na viburudisho vya UKAWA. Yaani thamani yako ni sawa na zile korosho tunazotumia wakati wa mikutano au kwenye ofisi zetu. Hustahili hata kuwekwa ndani. Ni kitu cha kutafuna tu mara moja na kumaliza. Ukishatumika huna thamani tena
Kwa dharau hizi kwa zao la korosho,nawapongeza wana kusini kwa umoja wao wakukataa gesi isiende bagamoyo