petu hapa,
Kama ww ni kiongozi, unatakiwa uwe na imani na msimamo. iwapo unaamini kununua chopper ni suluhisho la kupunguza foleni/gharama then simamia hilo suala unaloliamini kama kiongozi na kuwa tayari kuwa criticised na kujitetea kwa nini huo uamuzi ni mzuri. Lkn leo hii hawa viongozi wetu (wa kupeana) ukiwapinga hoja, utaambiwa unataka kumng'oa madarakani na ushuzi mwiiiiingi usiokuwa na maana!
you are right practice without logic is a killer.