Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Jamani huo udini na ukabila unaohubiriwa na Chadema mbona wengine hatuusikii? Sijawahi kusikia DR wa ukweli akitamka maneno yanayohubiriwa. Kweli mfa maji haachi kutapatapa. JK ndiye anayewapandikizia waTZ misamiati ambayo hawajaizoea. Kwani vipi gunia la ahadi limeisha sasa amebadili mikakati ya ushindi? GOD'S JUSTICE WILL ALWAYS PREVAIL!!!
Upuuuzi mtupu huna cha maana.Kama ni udini ni JK na CCM yake inahubiri hayo