Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Jamani rais wetu siyo dhaifu Mnyika anamwonea tu. Rais wetu mnamwonea bure tu kwani hata sababu ya nchi yake kuwa maskini hajui. Sasa atawezaje kupanga bajeti nzuri. Tumwache rais wetu aishi kwa amani. Chode chonde tusimdhalilishe jamani.