UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,529
- 7,733
Labda mkuu wetu ndo ataliwa kwa niaba yetu. lol
Kila na jambo na wakati wake.Kwa wakati ule ni sawa alipokuwa anazungumzia gharama za kuitangaza tz na resources zake.Lakini kwa sasa mtu akizungumzia kuwa eti ukitaka kula ni lazima uliwe,huyo muangalie vizuri au kaa naye mbali huenda si riziki!
Jakaya ni mzurulaji
Labda mkuu wetu ndo ataliwa kwa niaba yetu. lol
Nauliza hivi maana alitwambia kuwa TUKITAKA KULA LAZIMA TULIWE. Je alikuwa ana maanisha nini? Maana sasa Waingereza wamesema mpake tulane ndio tupate misaada. Lakini cha ajabu M'kwere kakaa kimya hataki kutoa tamko. Na jumatano anakuja Mtawala wa hao wanaotulazimisha Tuwasujudie mashoga.
Bujibuji acha kutoa mada ambazo hazina kichwa wala miguu, thread yako imekaa kimzahamzaha sana. JK alipozungumza hilo alikuwa anawatania na tena lilikuwa ni suala la kutangaza utalii wetu nje ya nchi. Matangazo hayo yalitolewa CNN, ndipo katika kuchombeza akasema gharama za matangazo yale ni kama kuliwa na siyo kukung'ung'utwa kama unavyotaka kukuhusianisha na wewe. Hivyo JK is neither msanii nor mzugaji.
Labda mkuu wetu ndo ataliwa kwa niaba yetu. lol
...anenalo mtu ndilo lililoujaza moyo wake.
AMEN Mpendwa umesomeka vizuri ila haya mambo ya Sodoma na Gomora haya ndio yatatupeleka pabaya
we taahira membe anafanya kazi ya nani? membe alitoa tamko la nani? Narudia tena kuuliza wewe taahira jibu swali hilo.Nauliza hivi maana alitwambia kuwa TUKITAKA KULA LAZIMA TULIWE. Je alikuwa ana maanisha nini? Maana sasa Waingereza wamesema mpake tulane ndio tupate misaada. Lakini cha ajabu M'kwere kakaa kimya hataki kutoa tamko. Na jumatano anakuja Mtawala wa hao wanaotulazimisha Tuwasujudie mashoga.