Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,219
- 79,498
Ifuatayo ni miradi inayoendelea au ipo njiani kuanzisha wilayani Bagamoyo au Mbegani au Mkoa wa Pwani kiujumla
(i) EPZ zone mbali ya kuwa kuna Kamal EPZ
(ii) Turkish University in Tanzania
(ii) World Tourism University for Africa
(iii) Muhimbili University campus Mloganzila
(iv) Uongozi Institute
(v) Bandari Mbegani
(vi) Uwanja wa ndege wa kimataifa
(vii) Kamal steel factory
(viii) Bagamoyo University
(ix) shule ya Wachina Bagamoyo
(x) IFM Msata
(xi) Global Industrial Park Mkuranga Pwani
(xii) Mount Ukombozi Health Sciences University Pwani
Naomba tuendeleze list hii na tuangalie kama viongozi waliopita wangefanya hivyo tungekuwa wapi leo? Je wenzetu wa Lindi, Mtwara, Shinyanga, Singida, Manyara na Tabora vp wao? hawahitaji huduma hizi sio?
(i) EPZ zone mbali ya kuwa kuna Kamal EPZ
(ii) Turkish University in Tanzania
(ii) World Tourism University for Africa
(iii) Muhimbili University campus Mloganzila
(iv) Uongozi Institute
(v) Bandari Mbegani
(vi) Uwanja wa ndege wa kimataifa
(vii) Kamal steel factory
(viii) Bagamoyo University
(ix) shule ya Wachina Bagamoyo
(x) IFM Msata
(xi) Global Industrial Park Mkuranga Pwani
(xii) Mount Ukombozi Health Sciences University Pwani
Naomba tuendeleze list hii na tuangalie kama viongozi waliopita wangefanya hivyo tungekuwa wapi leo? Je wenzetu wa Lindi, Mtwara, Shinyanga, Singida, Manyara na Tabora vp wao? hawahitaji huduma hizi sio?