Huoni amelalamika tumipata majibu mengi hata sikuwahi kuya sikia....hata hivyo asante kwa majibu yako lakini hii itatekelezwa lini...Kati ya hiyo miradi uliyoitaja kuna ile ambayo ni yenye umiliki binafsi wa wawekezaji ambao huwezi kuwapangai wakawekeze wapi maana wao wana priorities zao na wamefanya market na resources survey kabla hawajaamua kuwekeza. Kuna miradi mingine ilikuwa conceived kabla hata Kikwete hajaingia madarakani na inatekelezwa sasa kutokana na mpango kazi uliokuwepo wakati huo. Halafu madai mengine hayaingii akilini kwa sababu Bagamoyo ilikuwa nyuma na inahitaji na yenyewe kuonja maendeleo ambayo wananchi wake watajivunia na kujikwamua kutoka katika umaskini uliokithiri. Halafu utasema nini kuhusu Mkapa pale chini ya utawala wake ilipobuniwa Mtwara Corridor?
Kuhusu Bandari ya Mtwara, hiyo iko katika mpango wa Mtwara Corridor ambayo inahusisha pia utengenezaji wa barabara ya kuelekea Songea, Mbinga na Mbamba bay hadi Malawi na hivyo hivyo kuelekea Mozambique. Bandari ya Tanga iko kwenye plan ya kuunganisha reli hadi Musoma na baadae kuelekea Kampala. Mpango huu utahusisha ukarabati na upanuzi mkubwa wa bandari ya Tanga. Malalamiko mengine ni vizuri yakafanyiwa utafiti kabla hayajatolewa maana inaonekana yanatolewa bila tafakuri ya kina.
Ifuatayo ni miradi inayoendelea au ipo njiani kuanzisha wilayani Bagamoyo au Mbegani au Mkoa wa Pwani kiujumla
(i) EPZ zone mbali ya kuwa kuna Kamal EPZ
(ii) Turkish University in Tanzania
(ii) World Tourism University for Africa
(iii)Muhimbili University campus Mloganzila
(iv) Uongozi Institute
(v)Bandari Mbegani
(vi) Uwanja wa ndege wa kimataifa
(vii) Kamal steel factory
Naomba tuendeleze list hii na tuangalie kama viongozi waliopita wangefanya hivyo tungekuwa wapi leo
Hayo mengine mimi sina shida nayo, shida yangu kubwa ni hiyo bandari, kwa nini fedha inayotumika kujenga hiyo bandari isitumike kuimarisha na kupanua bandari za Tanga na Mtwara na kuboresha hii ya Dar es Salaam?
Bandari ilitakiwa iwe mtwara. jiografia ya mtara ile ndo natural habour tofauti na dar na huko bagamyo.
Nyerere angekuwa na akili hizi walahi Butiama sijui ingekuwaje
Mwalimu Nyerere alipokuwa Rais,wapo watu wa Mara walisikika kusema kwamba,''Nyerere ni hoperess[yaani,hopeless]. Yeye ni Rais lakini hafanyi lolote kuuendeleza mkoa wa Mara.
Utawala wa majimbo utakomesha upendeleo wa Sehemu zembe kusubiri mgao wa hisani badala ya kufanya kazi kwa bidiii.Ndo maana jamaa wa CCM pwani walisema Kaskazini wasahau Urais ili wampe wa pwani mwingine waboreshe zaidi pwani ililnganelingane na kaskazini!!Mshindwe na kuzimia 2015 na mzinduke 2016 wakati Rais wa Wananchi atakapokuwa ameapishwa
sio mbaya, ngoja apeleke huko, tutafika hata huko na wakwere watatuuzia viwanja watahamia mbali zaidi, huwa wana kwaida yakukimbia maendeleo, chukulieni mfano wa wazaramo, mbona wamehama mji?
Kwa hiyo unataka maradi wa bandari uende Karatu au Hai?
Mkuu maeneo kama bagamoyo na mkoa wa pwani yalisahaulika sana acha yaboreshwe!sasa wewe ulitaka hii miradi iende wapi?
Kibamba ipo Pwani sio kama Bagamoyo au? soma uelewe topicMkuu Mloganzila ipo kibamba na sio bagamoyo
MtwaraKwa hiyo unataka maradi wa bandari uende Karatu au Hai?
hatuhitaji Bandari au Airport Bagamoyo (30 km from Dar) ni utumiaji mbaya wa rasiliamli akajenge lake Tanganyika (bandari) na Mwanza (airport) potentials ni kubwa zaidi ukiangalia nchi ya DRC na Mwanza na uchimbaji wa madini na rasilimali nyinginezoKati ya hiyo miradi uliyoitaja kuna ile ambayo ni yenye umiliki binafsi wa wawekezaji ambao huwezi kuwapangai wakawekeze wapi maana wao wana priorities zao na wamefanya market na resources survey kabla hawajaamua kuwekeza. Kuna miradi mingine ilikuwa conceived kabla hata Kikwete hajaingia madarakani na inatekelezwa sasa kutokana na mpango kazi uliokuwepo wakati huo. Halafu madai mengine hayaingii akilini kwa sababu Bagamoyo ilikuwa nyuma na inahitaji na yenyewe kuonja maendeleo ambayo wananchi wake watajivunia na kujikwamua kutoka katika umaskini uliokithiri. Halafu utasema nini kuhusu Mkapa pale chini ya utawala wake ilipobuniwa Mtwara Corridor?
Kuhusu Bandari ya Mtwara, hiyo iko katika mpango wa Mtwara Corridor ambayo inahusisha pia utengenezaji wa barabara ya kuelekea Songea, Mbinga na Mbamba bay hadi Malawi na hivyo hivyo kuelekea Mozambique. Bandari ya Tanga iko kwenye plan ya kuunganisha reli hadi Musoma na baadae kuelekea Kampala. Mpango huu utahusisha ukarabati na upanuzi mkubwa wa bandari ya Tanga. Malalamiko mengine ni vizuri yakafanyiwa utafiti kabla hayajatolewa maana inaonekana yanatolewa bila tafakuri ya kina.
bandari ya dar au tuseme jiji la dar limezidiwa sasa unataka upanuzi wa dar uende singida na kuiacha bagamoyo?Hapa jamaa anataka ajue miradi hii ikiwemo lukuki ya barabara imeenda huko kwa amri ya nani? Nani amepigwa memo? Issue si kusahaulika. Lindi, Singida, nk. Huyu jamaa kajipendelea ata kama unatokea huko. Must be an equal distribution of public income across all regions. Mkoa wake unazalisha kidogo ukilinganisha na miradi iliyofunguliwa kwa muda mfupi.
sasa kinacholalamikiwa ni kipi?huoni anawajengea nyinyi wa kilimanjaro, tanga na mbeya?Mwache tu aipeleke, jinsi kutakavyo kuwa jiji ndivyo wakwere watakapokuwa wakimbizi, maana hawatabaki maeneo hayo.