Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #41
Natumaini mkakati wao utafanikiwa. Dowans mtanunua tu majenereta hayo! Unless.. I get ahead of you...
juzi nimesema kama hukubaliani na suala la Dowans nitakupa namba za viongozi uwapigie kuwapa habari yao guess what? Mtu mmoja tu hapa na huyo ni mtu ambaye nina uhakika anaweza kufanya hivyo. Wengine wote wamebakia "conflict of interests"! doomed we are!
Karudi kwenye hio laptop kajaza DVD mpya......subirini kama atagusia hili saga..