Kikwete hunywa guiness moja kila siku

Wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?
taifa lina maswala tete yanayotukabili eg mauaji ya serikali dhidi ya raia (north mara), nani mmiliki wa kagoda? kupanda kwa kasi kwa gharama za bidhaa, wizi wa kitaasisi unaofanywa na wabunge kupitia posho wanazojilipa kwa sheria walizojiwekea, ongezehttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/146963-enyi-wabunge-acheni-fikra-mgando-new-post.html
 
Wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?
Yule mlevi bwana, check cocktail party za safari zake, ful whisky duh! Na huko malaysia watamkoma leo!
 
Ndugu yangu hii nimeipata kutoka kwa source za ndani...presidential vallei....rais kunywa pombe kali kama guiness huenda ikaathiri utendaji kazi wake je tija kwa taifa itakuwepo utendaji kazi wa rais ukiathirika? mbona hufikiri vizuri ndugu yangu?

Mkuu hata kama anakunywa hiyo Guiness moja kila siku si kwa afya. Hiyo moja haiwezi kuathiri utendaji wa mtu. Hivi unajua Rais Mstaafu Mzee Mkapa anatumia kinywaji gani na kwa kiasi gani, utendaji wake ulikuwaje? Unajua Waziri Mkuu Mstaaafu bwana Sumaye anakunywa nini na kwa kiasi gani? Unywaji wa mtu ni vigumu sana kuupima na utendaji wake. Inategemea anakunywa nini na wakati gani. Ka Guiness kamoja tu kwa siku kisha useme ni mnywaji huyo? Ije hoja nyingine na wala siyo ya Guiness moja!
 
taifa lina maswala tete yanayotukabili eg mauaji ya serikali dhidi ya raia (north mara), nani mmiliki wa kagoda? kupanda kwa kasi kwa gharama za bidhaa, wizi wa kitaasisi unaofanywa na wabunge kupitia posho wanazojilipa kwa sheria walizojiwekea, ongezehttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/146963-enyi-wabunge-acheni-fikra-mgando-new-post.html

Mkuu ni kweli nchi ina mambo mengi ya sana tete ya kujadili. Mtandao huu nadhani unahujumiwa sana kwa kuwa badala ya watu kujielekeza kwenye hoja zinazohusu nchi badala yake tunaanza kuona posts za ajabu ajabu ambazo zinapoteza muda wa wadau. Nadhani imefika wakati muafaka Mods wawe wanaondoa posts ambazo siyo hot kwa kipindi fulani ili wadau wawezi kujikita kwenye posts ambazo ni hot kwa muda huo. Kwa mfano hivi sasa kuna masuala ya nyamongo, uporaji wa wanyamapori hai, posho za wabunge na watumishi wa serikali, tetesi za kuhongwa kwa M/kiti wa Kamati ya madini na budget ya serikali. Lakini sasa unakuja watu wanapost vitu kama kubebwa kwa Mbowe eti ni unyanyasaji; kunywa guiness moja ni ulevi, nk. Hizi post hazina tija zingefutwa tu ama kuhamishiwa jukwaa lingine
 
wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? Watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?

so what?????? ?????
 
viongozi wa nchi nyingi duniani hupiga kinywaji.
Sarkhozy=varieties of Cognac spirits
Obama= Corona Light
Bush=Jim Beam/Jack Daniels (lakini aliacha mitungi on his 40th birthday)
Kim Il Jong=Hennessy
Saadam Hussein=Johnnie Walker (Black label)
Saudi King=Hennessy
Mkapa=variety of beers
Gadhafi=sauvignon wines
Berlusconi=Cinzano
Putin=Greygoose Vodka
Hu Jintao=Sake beer

sasa kama mkuu wa kaya anagonga Guiness basi shega tu

Umemsahau marehemu Boris Yeltsin!! Alikuwa akigonga mvinyo hadi anachanganyikiwa!! Si unajua tena Mamivinyo ya Ki Russia!
 
By looking on the number of views on this thread you will realise that a lot of us fall for "catching" Head line. MOD could help us by sending this thread in its appropriate place which I have learned to be the Celebreties forum. I just cant contribute on this in its current place although I could have something to add.
 
Hivi ni kweli tumeishiwa ya kujadili hadi tunajadili kinywaji anachokunywa JK? Jamani tuna mengi ya kujadili kwa manufaa ya taifa na si hili la Kikwete anakunywa au hanywi ni nini! Tuna masualaya uhaba wa chakulauliokumba baadhi ya maeneo hapa nchini, kuporomoka kwa thamani ya sarafu yetu kunakoongeza ughali wa bidhaa na kuongeza ugumu wa maisha, masuala ya bunge kuendeshwa kishabiki zaidi kama timu za Yanga na Simba na nchi kuvamiwa na virusi vya ufisadi kiasi cha kutishia nchi kufilisika. Ni kweli yote hayo na mengine kibao hayatutoshi mpaka tuanze kumjadili JK kama anakunywa chai, Konyagi au Guiness wakati hiyo ni starehe yake binafsi ambayo ni haki yake kimsingi? Mijadala kama hii inampa JK na CCM yake likizo dhidi ya kuandamwa kwa madhambi yanayofanywa na serikali na chama chake.
imetulia hii mkuu.
 
akipata na stick mbili za Bangi kila siku nadhani ataongoza fresh kabisa, nashauri aanze nakuvuta weed!
 
Kuna maisha mengine ni personal sana kwa sisi Raia kuingilia huo ni uhuru wake ..mwacheni anywe vyovyote vile anavyotaka kwa sababu ni maisha yake binafis...kilio chetu kiko katika misimamo yake na maamuzi pia nchi inangamia hii
Ni kweli anakunywa. Inazuia kuanguka anguka
 
Acha anywe tu hata kumi si issue,ila achape kazi tu.issue ni utendaji wake basi
 
Back
Top Bottom