Ndio foxy ulev wa mkapa nao ulikua tatizo na ndio umechangia kutufikisha hapa tulipo........thatsa y nasema kiongoz kua mlevi ni tatizo......even a dady o mumy in a family
Kama Mkapa?
Kama Mkapa?
hata kama hatumpendi tusimzushie, jk ni alhaj,tumpe heshma yake
Nasikia kitu cha Kishimundu balaa kinazidi kile cha Kibosho bande za kina Mallya
Ndugu yangu hii nimeipata kutoka kwa source za ndani...presidential vallei....rais kunywa pombe kali kama guiness huenda ikaathiri utendaji kazi wake je tija kwa taifa itakuwepo utendaji kazi wa rais ukiathirika? mbona hufikiri vizuri ndugu yangu?
Jk kipindi kile anatoka masasi kwenda kwenye uwaziri alikuwa anakunywa bia aina ya safari nina uhakika asilimia 100!Nashangaa sana wanaosema anywi labda waseme ameacha!Wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?
Wadau ningependa kufahamishwa nimesikia kikwete hanywi pombe yoyote isipokuwa chupa moja ya guiness kwa siku, je ni kweli? watu wengi huona pombe ndio starehe inayoweza kuwatuliza baada ya majukumu kumbe naye ni mwenzetu?
DuhMkuu, Mkapa alikuwa anakunywa konyagi na mdudu mbaya kabisa.That guy was something else kwenye konyagi, mizinga miwili in one sitting ni kawaida sana.
Hivi ni kweli....angekuwa hai ilinibidi nikae nae meza 1....konyagi na mdudu inashukaaaa tu taratibuMkuu, Mkapa alikuwa anakunywa konyagi na mdudu mbaya kabisa.That guy was something else kwenye konyagi, mizinga miwili in one sitting ni kawaida sana.