Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kenge unaonesha moyo wa kitanzania kwelikweli, manaake watanzania hatuna kisasi, hatujali kuhusu raslimali zetu kama nchi, mtu akiiba asiibe yote ni sawa, kweli sote tunakuwa kama jinsi jina lako lilivyo! Hebu soma thrd ya Maige uona jinsi alivyokamatwa na TISS harafu! akili ni mali kila mtu anazake, lakini za kikwetu zina mushkeri!
Wewe Kasimba sina haja ya kulumbana na wewe, kwa sababu kama ni mwanafunzi basi wewe ni spoon feeding, wanafunzi wa aina hii hata mwalimu akiandika matusi ubaoni ananakili akijua ni sehemu ya mada aliyofundishwa. Ni kawaida kwa watu wasiotafakari jambo kukurupuka kuamini kila jambo. Subiri tu hao tunaowaamini kuwa ndiyo suluhisho la matatizo yetu yote hata lile la kujipatia fedha kununulia makufuli watimize malengo yao ya kutuletea utawala wa majimbo ili kuweze kufahamiana vizuri nani mchaga, na nani mkurya ili baadaye nasi warombo tutafutane manake ndugu zangu wengi wametawanyika sana