Miaka zaidi ya 40 ya uhuru bado wagonjwa na akina mama waliojifungua wanakaa chini kwa ukosefu wa vitanda. CCM mnajivunia nini ktk hali kama hii?? Hamuoni aibu mnapokwenda kutibiwa nchi za watu na mkaketi na kulala kwenye vitanda vya maana???
Picha hii ni akina mama waliojifungua wakiwa wamekaa chini kutokana na ukosefu wa vitanda hospitalini hapo.
Huu ni mwaka wa kutoipigia kura CCM na tuchague vyama vingine.....hasa CHADEMA inaonekana kuwa na mwelekeo.
Picha hii ni akina mama waliojifungua wakiwa wamekaa chini kutokana na ukosefu wa vitanda hospitalini hapo.
Huu ni mwaka wa kutoipigia kura CCM na tuchague vyama vingine.....hasa CHADEMA inaonekana kuwa na mwelekeo.