Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Ndugu Kikwete amewasili jana nchini Afrika kusini kwa wale wanahesabu safari zake watupe namba
Ndugu Kikwete amewasili jana nchini Afrika kusini kwa wale wanahesabu safari zake watupe namba
amepokelewa na mwamvita,moja ya shughuli atakazofanya akiwa sa ni kujionea na kusikia malamiko juu ya balozi wa tz nchini sa,na by the way kama muda utaruhusu atamtembelea kibanda ili aweze kunogesha hotuba ya mwisho wa mwezi
amepokelewa na mwamvita,moja ya shughuli atakazofanya akiwa sa ni kujionea na kusikia malamiko juu ya balozi wa tz nchini sa,na by the way kama muda utaruhusu atamtembelea kibanda ili aweze kunogesha hotuba ya mwisho wa mwezi
Ndugu Kikwete amewasili jana nchini Afrika kusini kwa wale wanahesabu safari zake watupe namba
Dr. Slaa amesharudi kutoka Israel?
Na Mh. Mnyika naye amesharudi kutoka UK?
Mwenye record na budget ya safari zao (Dr. Slaa na Mh. Mnyika) ninaomba anisaidie kuziweka hapa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
aliyempa jina la fast jet hakukosea hakika!
Kwani rukuzu hazitokani na kodi zetu?
Anayehoji safari za Wenje Mnyika Mbowe na Slaa hana akili! Wao wanatumia ruzuku za chama, sisi tunahoji huyu atumiaye kodi za wananchi!