kelvito
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 386
- 100
zanzibar ni nchi sasa naamini!
mkuu hata mimi inanishangaza raisi wa jamhuri ya muungano anatoa rambirambi, wakati yeye ni mfiwa pia, tena usikute asilimia 30ni wazanzibar na 70% ni watanganyika waliopoteza maisha kwanini atoe rambirambi!?
Sijui nani ataniambia vizuri kuhusu huu muungano mimi nimeukuta tuu na sasa unanichanganya! Ninachojua mimi serilaki ya zanzibar ni subset ya serikali ya tanzania!
Au ndo udhaifu mnyika aliyousema huu!?