hii kali , sasa walipo sajili hawakuweka physical address ya owner au ofisi zao zitakuwa wapi namba za simu, ? na je hawawezi tumia njia mbadala kumpata sema director/owner badala ya kuitafuta hiyo ofisi ambayo haipo? maana toka imeagizwa toka usa, mpaka imelipiwa kodi, na kuandikishwa lazima mwenye mali atakuwa anajulikana na zanzibar ilivyo ndogo hata nyumbani kwake watu watakuwa wanafahamu. ndio maana nikasema hapa ni mpaka vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake na kuundwa kwa tume ya bunge amasivyo atakuwa hapatikani kama yule mmiliki wa imalasekomMILIKI anajulikana ila hana ofice, so no where to trace the owner