Ameweza kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari kuliko marahisi wote waliomtangulia ndio maana vyombo vya habari binafsi kama jf wanaweza kuandika porojo bila tatizo loloteMwalimu nyerere alijivunia utawala bora, Mwinyi alijivunia ruksa, Mkapa alijivunia kuimarisha uchumi, je Kikwete atajivunia nini, tulichambue hili kwa makini wana jf