Umasikini aliotuongezea, ufisadi uliokithiri na udini!!
kudhibiti malaria.
kathibiti mkoa gani?, maana watoto bado wanakufa..
Mwalimu nyerere alijivunia utawala bora, Mwinyi alijivunia ruksa, Mkapa alijivunia kuimarisha uchumi, je Kikwete atajivunia nini, tulichambue hili kwa makini wana jf
Ana mengi ya kujivunia tena kama sikosei mengine ataweka rekodi zitakazodumu muda mrefu bila kuvunjwa kama ifuatavyo:
- Rais asiyejua kwa nini tz ni masikini
- Rais aliyehudhuria matamasha ya nyimbo za injili kuliko wote
- Rais aliyedanganywa na wasaidizi wake kuliko wote
- Rais aliyepiga kampeni kifamilia na kudai urais ni ishu ya kifamilia
- Rais aliyetoa ahadi hadi akiwa ugaibuni
- Rais anayepelekeshwa na mafisadi hadi anaweweseka
- Rais anayevua magamba ilihali magamba hayavuliki
- Rais analisema wanafunzi wanaopata mimba ni kiherehere chao
- Rais anayehamasisha udini kuliko wote
- Rais wa kwanza kupigwa mawe na wananchi wa vijijini
- Rais wa kwanza kususiwa na wabunge akitoa hotuba
- Rais wa kwanza kuwa Vasco da Gama kuliko wote
- Rais wa kwanza kuwapigia kampeni wezi wa mali za umma hadharani na kusema ni mapanga ya zamani yenye makali mapya
- Rais wa kwanza kuahidi kuwa shule zote za tz zitapewa computer ilhali akijua haiwezekani
- Rais wa kwanza kupewa ulinzi wa majini na mlinzi wake mkuu shehe yahya
- Rais wa kwanza kutoa kauli za uongo pale aliposema mwaka 2007 kuwa baada ya miaka 2 mgao wa umeme ungekuwa historia na hadi leo mgao upo hata leo home sina umeme.
- .
- ..
- .
- .
- .
Ana mengi ya kujivunia tena kama sikosei mengine ataweka rekodi zitakazodumu muda mrefu bila kuvunjwa kama ifuatavyo:
- Rais asiyejua kwa nini tz ni masikini
- Rais aliyehudhuria matamasha ya nyimbo za injili kuliko wote
- Rais aliyedanganywa na wasaidizi wake kuliko wote
- Rais aliyepiga kampeni kifamilia na kudai urais ni ishu ya kifamilia
- Rais aliyetoa ahadi hadi akiwa ugaibuni
- Rais anayepelekeshwa na mafisadi hadi anaweweseka
- Rais anayevua magamba ilihali magamba hayavuliki
- Rais analisema wanafunzi wanaopata mimba ni kiherehere chao
- Rais anayehamasisha udini kuliko wote
- Rais wa kwanza kupigwa mawe na wananchi wa vijijini
- Rais wa kwanza kususiwa na wabunge akitoa hotuba
- Rais wa kwanza kuwa Vasco da Gama kuliko wote
- Rais wa kwanza kuwapigia kampeni wezi wa mali za umma hadharani na kusema ni mapanga ya zamani yenye makali mapya
- Rais wa kwanza kuahidi kuwa shule zote za tz zitapewa computer ilhali akijua haiwezekani
- Rais wa kwanza kupewa ulinzi wa majini na mlinzi wake mkuu shehe yahya
- Rais wa kwanza kutoa kauli za uongo pale aliposema mwaka 2007 kuwa baada ya miaka 2 mgao wa umeme ungekuwa historia na hadi leo mgao upo hata leo home sina umeme.
- .
- ..
- .
- .
- .