IS IT SHE OR HE? jamani toeni details zake hapa maana ndo leo nasikia hilo jina...can I date with her if is she? is she easy to go or has HIV? ni cerebiriti kama KIMAMBI? ananyonga kama RC? au? mwageni sie kama vipi tujae langoni....
ni lofa tu fulani anafanya kazi kwa FISADI mwenzake Lau Masha pale IMMA advocate cha kushangaza hajawahi kupewa kesi hata moja aitete mahakamani inasemekana ni kilaza wa kutupwa that y. Na alifeli masters yake kule UK alikokwenda kusoma hata law schol alifeli ila akapewa tu kwa heshiMA ya baba yake.!
Hana maana anajifanya ana nafasi flani hapa Tanzania,hajui kwamba tuliisha amka na hata tukilogwa hatuwezi tena kukubali kuongozwa na mtu mpuuzi wa calibre kama ya baba yake.anajidanganya kwamba atakua na nafasi hapa tanzania siku zijazo!
Ni mkwere anaependa mipasho kama babake! Hana sifa hata ya kuwa kilanja wa darasa la III-C la wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika. Namfananisha na kiji- panya au kigari kidoogo kama Vitz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.