JK ameamua kuhusisha fammilia kwenye kampeni baada ya ma tycoon na watu mbali mbali ambao baada ya kutoswa au kuona mambo ya hayaendi vizuri ndio kusema wao ndio wamemuweka madarakani , yani bila wao JK asingekua raisi wa Tanzania, sasa Mheshimiwa ndipo akamamua kutumia fammilia ili kusiwe tena na mtu kulipwa fadhila .JK kaamua kipindi hiki cha mwisho anataka awafunge mdomo wote walio sema hajafanya kitu , ana kaza buti zaidi na kuhakikisha heshima yake ina rudi na ku enziwa kwa vizazi vijavyo.Kutakua hakuna tena undugu ,urafiki na ile nawe ule hapo, ni kazi kwa Ari zaidi na kasi zaidi , hakuna kuangaliana machoni tena.Ila huyu Ruge wa nini ?
Nafikiri Kikwete anaweza kuwa ni Rais wa kwanza na wa mwisho nchini kuihusisha familia moja kwa moja katika masuala ya chama na nchi. Nawashangaa akina Chiligati, Makamba na Msekwa kuendelea kumpigia debe Kikwete huku wakijua kabisa kwamba makamu mwenyekiti wa chama hivi sasa ni Salma Kikwete na Katibu Mkuu ni Ridhiwani.Ni bahati mbaya sana wengi tumekuwa vipofu kutokana na njaa zetu, anachokifanya Mkulu ni jambo la ajabu sana, kijana anasomewa risala na wakuu wa wilaya, mama ndo usiseme anapokewa na Ma DC na RCs halafu bado watu hawaoni wanasema huo ni wivu. Come on let's be serious!
Yaani mke wa rais anakushika kwa mkono wake wa kushoto anauinua Juu. Kwa utamaduni wangu mimi hilo ni tusi na laanaJust curious!!! Hivi nani ni mgombea urais kati ya hawa? Mbona wote wana majukumu sawa ya kuinua mikono ya wagombea ubunge na kuwatambulisha kwa wapiga kura?
Sijaona Makamu mwenyekiti wa chama (Msekwa) akitambulisha wagombea, au makamba akifanya hivyo. Ina maana Mama salma na Ridhiwani wana vyeo vikubwa kushinda makamu mwenyekiti wa chama na Katibu mkuu?
That is funny! Naona Kikwete ametekeleza hilo. Baba ni Rais, Mama makamu wa Rais na mtoto ni waziri mkuu!! Au siyo?!Ukiwa mgeni unayetakiwa, mwezi mmoja unakuwa ni mfupi lakini ukiwa hutakiwi masaa mawili ni mengi mno. Nadhani umenisoma. Hata hivyo huenda ni mtindo wa wimbo fulani wa kwaya ya Arusha usemao Baba awe askofu, Mama awe mchungaji na Watoto wawe Wainjilisti.
JK ameamua kuhusisha fammilia kwenye kampeni baada ya ma tycoon na watu mbali mbali ambao baada ya kutoswa au kuona mambo ya hayaendi vizuri ndio kusema wao ndio wamemuweka madarakani , yani bila wao JK asingekua raisi wa Tanzania, sasa Mheshimiwa ndipo akamamua kutumia fammilia ili kusiwe tena na mtu kulipwa fadhila .JK kaamua kipindi hiki cha mwisho anataka awafunge mdomo wote walio sema hajafanya kitu , ana kaza buti zaidi na kuhakikisha heshima yake ina rudi na ku enziwa kwa vizazi vijavyo.Kutakua hakuna tena undugu ,urafiki na ile nawe ule hapo, ni kazi kwa Ari zaidi na kasi zaidi , hakuna kuangaliana machoni tena.Ila huyu Ruge wa nini ?
Ni viherehere vyao:A S 112::A S 112::A S 112::A S 112::A S 112:
hahaha hahaha hahaha napata picha hapo
Lakini this is shame to our nation kuwa family imechukua hatamu za uongozi wa nchi kuanzia kwenye kampeni hadi nshaaa matumizi ya hovyo ya rasilimali za umma. .
JK ameamua kuhusisha fammilia kwenye kampeni baada ya ma tycoon na watu mbali mbali ambao baada ya kutoswa au kuona mambo ya hayaendi vizuri ndio kusema wao ndio wamemuweka madarakani , yani bila wao JK asingekua raisi wa Tanzania, sasa Mheshimiwa ndipo akamamua kutumia fammilia ili kusiwe tena na mtu kulipwa fadhila .JK kaamua kipindi hiki cha mwisho anataka awafunge mdomo wote walio sema hajafanya kitu , ana kaza buti zaidi na kuhakikisha heshima yake ina rudi na ku enziwa kwa vizazi vijavyo.Kutakua hakuna tena undugu ,urafiki na ile nawe ule hapo, ni kazi kwa Ari zaidi na kasi zaidi , hakuna kuangaliana machoni tena.Ila huyu Ruge wa nini ?