VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Baraza la Mawaziri limeongezeka idadi kutoka 50 hadi 55. Nafasi mpya 5 zimeundwa kwenye Baraza la Mawaziri.Pia,nafasi za George Simbachawene na January Makamba kama Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge nazo zi wazi.Zahitaji kujazwa.Pia,wabunge wa kuteuliwa na Rais wameoongezeka kutoka 3 hadi 7.Je,hizi ni harakati za Rais kutimiza ahadi yake ya kukuza ajira nchini?