2025-2030 Tanzania kufanikiwa kufika nchi ya ahadi chini ya Rais Samia. Naiona Tanzania mpya

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Hii si ndoto ila ndio uhasia ulivyo na kama mtu ataiona ni ndoto basi aifikirie Ile ndoto tamu sana ya kufurahisha ambayo inaacha kumbukumbu za furaha. Ninaamini baada ya 2030 tutakuja kusema YAMETIMIA, RAIS SAMIA AMEFANIKISHA.

Kufika nchi ya Ahadi sio jambo dogo na ugumu wake tunaona kwenye Biblia wana wa Israel wakipambana Kwa miaka 40 kufika nchi Ile yenye wingi wa maziwa na asali, ni safari ndefu iliyojawa na kukata tamaa lakini iliyoongozwa kwa nia, dhamira na utayari. Haikuwa jambo rahisi Kwa Wana wa Israel hivyo sitegemei litakuwa jambo rahisi kwa watanzania lakini ninaamini Rais Samia ndie Joshua wa Leo wa kutufikisha nchi ya Ahadi.

Kwa nini nimesema 2025-2030 Tanzania itafika nchi ya Ahadi chini ya Rais Samia

Kwanza, kufika nchi ya Ahadi ni mategemeo na matarajio ya watu na Rais Samia yupo Kwa ajili ya kutimiza matarajio yetu. Kutokana na hulka yake ya kupenda kutekeleza Ahadi tutafanikiwa kufika.

Pili, miradi mingi ya kimkakati iliyoanzishwa katika kipindi cha 2025 kuelekea 2030 itakuwa imekamlika. Mradi wa JNHPP na SGR ambayo wachumi wanasema italeta mwanga mpya kwenye maendeleo ya Taifa itakuwa imekamilika.

Tatu, Rais Samia atafanikiwa kutengeneza ajira nyingi sana Kwa vijana kupitia kilimo kama mpango wa Jenga Kesho iliyo bora utafanikiwa (Building Better Tomorrow -BBT). Kulinga na mpango wa BBT kilimo kinatarajiwa kuajiri vijana milioni mbili ifikapo 2030, Kitakuwa ni kiwango kikubwa Cha ajira kuwahi kutolewa.

Nne, Kuna uwezekano Tanzania ikawa ni kitovu kikubwa Cha uwekezaji, biashara na utalii mpaka 2030 Afrrika kulingana na sera za Rais Samia kufungua nchi.

Tano, Tanzania itakuwa imefanikiwa kufanya maboresho makubwa kwenye sheria na sheria kandamizi kurekebishwa. Zaidi ya yote kuelekea 2025-2030 Rais Samia amefanikiwa kutupatia katiba mpya na kufanikisha dhana nzima ya kufika nchi ya Ahadi.

Naomba nisisitize kwenye ili ieleweke vema, Rais Samia ndiye Joshua wa Leo wa Tanzania na ndie anatosha kutufikisha nchi ya Ahadi 2025-2030

Pia, niseme kwamba Uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni ama tuchague kupelekwa nchi ya Ahadi na Rais Samia au tupelekwe nchi ya kusadikika na wapinzani.
 
Samia Suluhu Hassan ni kaimu raisi / kiongozi wa mpito hata yeye anajuwa.
 
Kuna siku nilisema hapa kuwa MWILAPWA = MWASHAMBWA. Mtililiko na muendelezo wa kusifia na kujipendekeza ni uleule. Hivi hamuoni uozo unapendelea nchini!?,hivi hamuoni nchi inavyojiendea tu kama gari bovu!?.. Kweli njaa ni kitu kibaya sana.., Sana.
 
Hadithi za abunwasi hizi, wote tunafahamu fika kuwa kwa kila Rais kipindi cha pili uwa wanapunguza kasi za kufanya maendeleo badala yake uwa ni kipindi cha kula Bata kwa sababu anaenda kustaafu urais.

Samia mpaka mwaka huu, hajaacha legacy yoyote ya kukumbukwa au project ya maana ndani ya awamu ya kwanza kama ilivyokuwa kwa Chuma Magufuli ambapo tuliona kasimamia project kama Serikali kuamia Dodoma, Daraja refu Afrika mashariki pale mwanza, meli kubwa ziwa Victoria MV Mwanza hapa kazi tu, JNHP, Magufuli bus terminal na baadhi ya project ambazo alizofanya kwa miaka 5 tu.

Lakini tangu huyu aingie hakuna project ya maana aliyofanya kwa miaka micheche ambayo itafanya akumbukwe. Mi binafsi sioni, zaidi ya kuona nyie Chawa wake mnatupigia kelele mitandaoni badala ya kumkumbusha afanye maendeleo.
 
Maendeleo hayahitaji porojo ulizoziandika hapo, maendeleo hayajifichi, kama hujafanya tunaona hujafanya. Sio kuleta Siasa sijui tusubiri 2025-2030.... Sisi hatutaki mambo ya kusubiri miaka ambayo hatuioni
 
Mwenzenu anapambana nchi haina akiba ya dola, soon hata pesa ya kuagizia mafuta itaisha nyie mnamuimbia nyimbo za kutafuta teuzi? Yapaswa mjue ni nyimbo zipi zinafaa kwa muda upi.

Huku Lissu, kule bunge LA umoja wa ulaya, kule world bank wamegoma kuleta dola, kule waraka wa TEC na pale DP world wanadai aidha wapewe bandari au warudishiwe pesa zao.

Ukijumlisha hayo yote utaona kabisa Yatapita ya Diamond ndo wimbo wa kumfaa kwa sasa, sasa wewe unamuwekea Unanitaka Basi nitongoze?
 
Samia Suluhu Hassan ni kaimu raisi / kiongozi wa mpito hata yeye anajuwa.
Huu ndio ukweli, hata wamsifu kwa nyimbo na mapambio hakuta wasaidia machawa. Huyu bibi hana sifa hata ya kuwa village chairwoman. Nonsense
 
Hii si ndoto ila ndio uhasia ulivyo na kama mtu ataiona ni ndoto basi aifikirie Ile ndoto tamu sana ya kufurahisha ambayo inaacha kumbukumbu za furaha. Ninaamini baada ya 2030 tutakuja kusema YAMETIMIA, RAIS SAMIA AMEFANIKISHA.

Kufika nchi ya Ahadi sio jambo dogo na ugumu wake tunaona kwenye Biblia wana wa Israel wakipambana Kwa miaka 40 kufika nchi Ile yenye wingi wa maziwa na asali, ni safari ndefu iliyojawa na kukata tamaa lakini iliyoongozwa kwa nia, dhamira na utayari. Haikuwa jambo rahisi Kwa Wana wa Israel hivyo sitegemei litakuwa jambo rahisi kwa watanzania lakini ninaamini Rais Samia ndie Joshua wa Leo wa kutufikisha nchi ya Ahadi.

Kwa nini nimesema 2025-2030 Tanzania itafika nchi ya Ahadi chini ya Rais Samia

Kwanza, kufika nchi ya Ahadi ni mategemeo na matarajio ya watu na Rais Samia yupo Kwa ajili ya kutimiza matarajio yetu. Kutokana na hulka yake ya kupenda kutekeleza Ahadi tutafanikiwa kufika.

Pili, miradi mingi ya kimkakati iliyoanzishwa katika kipindi cha 2025 kuelekea 2030 itakuwa imekamlika. Mradi wa JNHPP na SGR ambayo wachumi wanasema italeta mwanga mpya kwenye maendeleo ya Taifa itakuwa imekamilika.

Tatu, Rais Samia atafanikiwa kutengeneza ajira nyingi sana Kwa vijana kupitia kilimo kama mpango wa Jenga Kesho iliyo bora utafanikiwa (Building Better Tomorrow -BBT). Kulinga na mpango wa BBT kilimo kinatarajiwa kuajiri vijana milioni mbili ifikapo 2030, Kitakuwa ni kiwango kikubwa Cha ajira kuwahi kutolewa.

Nne, Kuna uwezekano Tanzania ikawa ni kitovu kikubwa Cha uwekezaji, biashara na utalii mpaka 2030 Afrrika kulingana na sera za Rais Samia kufungua nchi.

Tano, Tanzania itakuwa imefanikiwa kufanya maboresho makubwa kwenye sheria na sheria kandamizi kurekebishwa. Zaidi ya yote kuelekea 2025-2030 Rais Samia amefanikiwa kutupatia katiba mpya na kufanikisha dhana nzima ya kufika nchi ya Ahadi.

Naomba nisisitize kwenye ili ieleweke vema, Rais Samia ndiye Joshua wa Leo wa Tanzania na ndie anatosha kutufikisha nchi ya Ahadi 2025-2030

Pia, niseme kwamba Uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni ama tuchague kupelekwa nchi ya Ahadi na Rais Samia au tupelekwe nchi ya kusadikika na wapinzani.
Mwana CCM mwenzangu naomba msaada kdg kweny hoja hizi hapo chini 👇👇 maana nahojiwa na watanzania mtaan nakosa la kujibu!! KARLO MWILAPWA majibu tafadhali!!
 

Attachments

  • 1687761662681.jpeg
    1687761662681.jpeg
    136.5 KB · Views: 4
Kuna siku nilisema hapa kuwa MWILAPWA = MWASHAMBWA. Mtililiko na muendelezo wa kusifia na kujipendekeza ni uleule. Hivi hamuoni uozo unapendelea nchini!?,hivi hamuoni nchi inavyojiendea tu kama gari bovu!?.. Kweli njaa ni kitu kibaya sana.., Sana.
Usilazimishe watu waone unachoona wewe kama ninaona hii ni 9 usilazimishe wengine waseme ni 6.

Tuseme ni kweli unayosema ni upi mbadala wa CCM hapa Tanzania? Ukweli ni kwamba hakuna mbadala wa CCM, nayasema haya nikiwa nimefungua moyo kabisa.

Siasa siku zinahitaji Uvumilivu na usipokuwa mvumilivu utafanya vitu kwa ugumu ila inaonesha baadhi ya wanasiasa hawana Uvumilivu na kufikiri maendeleo yanakuja kwa kusema tu yaje, bila kutoka jasho na damu maendeleo ni ndoto ya kutisha. Kama ungekuwa na Uvumilivu ungesubiri matokeo ili upime uozo unaosema. Ninakumbuka kipindi cha JPM ZITTO alikuwa anapinga ununuzi wa ndege lakini ziliponunuliwa akawa ndio wa kwanza kupanda, je hapo angeendelea kusema ununuzi wa ndege sio mzuri? Hapana ,mpaka Leo ameufyata
 
Mwenzenu anapambana nchi haina akiba ya dola, soon hata pesa ya kuagizia mafuta itaisha nyie mnamuimbia nyimbo za kutafuta teuzi? Yapaswa mjue ni nyimbo zipi zinafaa kwa muda upi.
Huku Lissu, kule bunge LA umoja wa ulaya, kule world bank wamegoma kuleta dola, kule waraka wa TEC na pale DP world wanadai aidha wapewe bandari au warudishiwe pesa zao. Ukijumlisha hayo yote utaona kabisa Yatapita ya Diamond ndo wimbo wa kumfaa kwa sasa, sasa wewe unamuwekea Unanitaka Basi nitongoze?
Mahakama, bunge na Serikali ni mihimili ya Dola inayojitegemea kabisa. Suala la uwekezaji wa bandari limetolewa uamuzi na mahakama ,Rais kama kiongozi wa Serikali hatakiwi kuingilia uamuzi huo Kwa vyovyote na suala hilo kuendelea kujadiliwa ili kupatiwa ufumbuzi nje ya mfumo wa mahakama ni ukiukwaji wa utaratibu. TEC, Lissu na wengineo wametoa maoni kama watanzania ambayo ni haki yao kikatiba.

Mikopo ya WB haitolewi tu kwamba umeomba Leo kesho upewe Kuna mchakato unapitia Sasa unaposema WB wamegoma kutoa Dola umejiridhisha mchakato huo umekamilika?

Nimeelezea uhalisia na ugumu wa kufika nchi ya Ahadi. Kama Rais akisema huu Uzi basi afahamu ni wa kumtia moyo, safari ya kufika nchi ya Ahadi hata kwa Wana wa Israel haikuwa rahisi kivile lakini walifanikiwa.
 
Hadithi tushazizoea hizo kuzisikia

Ova
Kwani hadithi ya kurudi Kwa Yesu mara ya pili hujazoea kuisikia? Bora hata hii ya kufika nchi ya Ahadi ni hadithi ya msimu lakini ya kurudi kwa Yesu ni ya kila siku.

Hoja hapa sio hadithi imezoeleka ila ni jambo ambalo ni halisi na litafanikiwa 2025 kuelekea 2030
 
Maendeleo hayahitaji porojo ulizoziandika hapo, maendeleo hayajifichi, kama hujafanya tunaona hujafanya. Sio kuleta Siasa sijui tusubiri 2025-2030.... Sisi hatutaki mambo ya kusubiri miaka ambayo hatuioni
Kama Marekani na uwezo wake wote inapanga maendeleo na utekelezaji wake unaweza kuchukua miaka 100 kutokea leo , wewe ni nani wa kupanga leo kesho kifanyike? Sio lazima kinachofanyika Leo ukitumie wewe
 
Hii si ndoto ila ndio uhasia ulivyo na kama mtu ataiona ni ndoto basi aifikirie Ile ndoto tamu sana ya kufurahisha ambayo inaacha kumbukumbu za furaha. Ninaamini baada ya 2030 tutakuja kusema YAMETIMIA, RAIS SAMIA AMEFANIKISHA.

Kufika nchi ya Ahadi sio jambo dogo na ugumu wake tunaona kwenye Biblia wana wa Israel wakipambana Kwa miaka 40 kufika nchi Ile yenye wingi wa maziwa na asali, ni safari ndefu iliyojawa na kukata tamaa lakini iliyoongozwa kwa nia, dhamira na utayari. Haikuwa jambo rahisi Kwa Wana wa Israel hivyo sitegemei litakuwa jambo rahisi kwa watanzania lakini ninaamini Rais Samia ndie Joshua wa Leo wa kutufikisha nchi ya Ahadi.

Kwa nini nimesema 2025-2030 Tanzania itafika nchi ya Ahadi chini ya Rais Samia

Kwanza, kufika nchi ya Ahadi ni mategemeo na matarajio ya watu na Rais Samia yupo Kwa ajili ya kutimiza matarajio yetu. Kutokana na hulka yake ya kupenda kutekeleza Ahadi tutafanikiwa kufika.

Pili, miradi mingi ya kimkakati iliyoanzishwa katika kipindi cha 2025 kuelekea 2030 itakuwa imekamlika. Mradi wa JNHPP na SGR ambayo wachumi wanasema italeta mwanga mpya kwenye maendeleo ya Taifa itakuwa imekamilika.

Tatu, Rais Samia atafanikiwa kutengeneza ajira nyingi sana Kwa vijana kupitia kilimo kama mpango wa Jenga Kesho iliyo bora utafanikiwa (Building Better Tomorrow -BBT). Kulinga na mpango wa BBT kilimo kinatarajiwa kuajiri vijana milioni mbili ifikapo 2030, Kitakuwa ni kiwango kikubwa Cha ajira kuwahi kutolewa.

Nne, Kuna uwezekano Tanzania ikawa ni kitovu kikubwa Cha uwekezaji, biashara na utalii mpaka 2030 Afrrika kulingana na sera za Rais Samia kufungua nchi.

Tano, Tanzania itakuwa imefanikiwa kufanya maboresho makubwa kwenye sheria na sheria kandamizi kurekebishwa. Zaidi ya yote kuelekea 2025-2030 Rais Samia amefanikiwa kutupatia katiba mpya na kufanikisha dhana nzima ya kufika nchi ya Ahadi.

Naomba nisisitize kwenye ili ieleweke vema, Rais Samia ndiye Joshua wa Leo wa Tanzania na ndie anatosha kutufikisha nchi ya Ahadi 2025-2030

Pia, niseme kwamba Uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni ama tuchague kupelekwa nchi ya Ahadi na Rais Samia au tupelekwe nchi ya kusadikika na wapinzani.
Matarajio ya kina nani?
 
Hii si ndoto ila ndio uhasia ulivyo na kama mtu ataiona ni ndoto basi aifikirie Ile ndoto tamu sana ya kufurahisha ambayo inaacha kumbukumbu za furaha. Ninaamini baada ya 2030 tutakuja kusema YAMETIMIA, RAIS SAMIA AMEFANIKISHA.

Kufika nchi ya Ahadi sio jambo dogo na ugumu wake tunaona kwenye Biblia wana wa Israel wakipambana Kwa miaka 40 kufika nchi Ile yenye wingi wa maziwa na asali, ni safari ndefu iliyojawa na kukata tamaa lakini iliyoongozwa kwa nia, dhamira na utayari. Haikuwa jambo rahisi Kwa Wana wa Israel hivyo sitegemei litakuwa jambo rahisi kwa watanzania lakini ninaamini Rais Samia ndie Joshua wa Leo wa kutufikisha nchi ya Ahadi.

Kwa nini nimesema 2025-2030 Tanzania itafika nchi ya Ahadi chini ya Rais Samia

Kwanza, kufika nchi ya Ahadi ni mategemeo na matarajio ya watu na Rais Samia yupo Kwa ajili ya kutimiza matarajio yetu. Kutokana na hulka yake ya kupenda kutekeleza Ahadi tutafanikiwa kufika.

Pili, miradi mingi ya kimkakati iliyoanzishwa katika kipindi cha 2025 kuelekea 2030 itakuwa imekamlika. Mradi wa JNHPP na SGR ambayo wachumi wanasema italeta mwanga mpya kwenye maendeleo ya Taifa itakuwa imekamilika.

Tatu, Rais Samia atafanikiwa kutengeneza ajira nyingi sana Kwa vijana kupitia kilimo kama mpango wa Jenga Kesho iliyo bora utafanikiwa (Building Better Tomorrow -BBT). Kulinga na mpango wa BBT kilimo kinatarajiwa kuajiri vijana milioni mbili ifikapo 2030, Kitakuwa ni kiwango kikubwa Cha ajira kuwahi kutolewa.

Nne, Kuna uwezekano Tanzania ikawa ni kitovu kikubwa Cha uwekezaji, biashara na utalii mpaka 2030 Afrrika kulingana na sera za Rais Samia kufungua nchi.

Tano, Tanzania itakuwa imefanikiwa kufanya maboresho makubwa kwenye sheria na sheria kandamizi kurekebishwa. Zaidi ya yote kuelekea 2025-2030 Rais Samia amefanikiwa kutupatia katiba mpya na kufanikisha dhana nzima ya kufika nchi ya Ahadi.

Naomba nisisitize kwenye ili ieleweke vema, Rais Samia ndiye Joshua wa Leo wa Tanzania na ndie anatosha kutufikisha nchi ya Ahadi 2025-2030

Pia, niseme kwamba Uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni ama tuchague kupelekwa nchi ya Ahadi na Rais Samia au tupelekwe nchi ya kusadikika na wapinzani.
HATOGOMBEA!!
 
Back
Top Bottom